Senbe Noma
Member
- Sep 11, 2013
- 38
- 5
Jamani mimi binafsi nashindwa kabisa kukielewa chama changu cha Mapinduzi. Linapokuja suala la unga viongozi wangu wapendwa wanashindwa kabisa kusimama kidete. Mimi naumia mno maana nina mdogo wangu alikua amepata Div 1 Mzumbe lakini akajiingiza kwenye unga siku hizi ni teja mno(naandika hokum machozi yananitoka, mama amejitahidi kumpeleka rehab znz na kigamboni but akirudi tu anarudia hali ileile). katika hali ya kawaida baada ya suala hili kuongelewa bungeni nilitarajia CCM ingeandaa maandamano kama chama chetu kifanyavyo kunapokua kuna masuala ya KITAIFA. LAKINI WAPI!. CCM mkumbuke kuwa vijana wengi wanakihama chama chenu kutokana na CCM kutokutujali sisi vijana, kumbukeni tunaoathirika wengi ni vijana. NAPE PLEASE MY BRO DO SOMETHING, YES U CAN, BRO!