Watu ni wa ajabu sana,ww umeambiwa na watu waliokuwa ndani ya mkutano mkuu wa CCM kuwa mwenyekiti alikuwa na majina yake matano mfukoni kumbe wagombea kama akina Pinda,Lowasa na wengine walikuwa wanapoteza muda bure,tukumbuke Zile million 700 zililetwa na Jk ili Membe apite, leo Kikwete amekiua chama waziwazi,wajinga na wapumbavu wachache macho,masikio na ubongo wao vimekufa wala havifanyi kazi hivyo hawaoni chochote hii ni aibu na ni ujinga uliopitiliza kabisa kushabikia mwenyekiti anayegeuza chama kuwa cha familia.Hata kama hawataki kukir watanzania hawawataki tena CCM habar ndio hiyo.