Mkuu,sisi wananchi ndo wenye wajibu wa kuiondoa hii serikali wala siyo upinzani.Vyama vya upinzani dhaifu ndio sababu ya CCM kuendelea kutawala.. Tukiamua kuhamasishana kwa umoja wetu tukapige kura tunaiita CCM.. Lakini leo hii hata wapinzani hawajui wanataka nini..
Kwasababu wanatumia vyombo vya Dola kubakia Madarakani, wanawatumia Polisi, TISS, Jeshi (refer 2010 JK), wanatumia Mahakama, wanatumia Kila mbinu chafu.... hili alishawahi kulisemea hadharani Bashiru Ally.CM kwa miaka 60 wameshindwa kusambaza maji ya kunywa na umeme wa uhakika kwa wananchi kwanini tunawalea?
Sio kweli, shida ni wananchi wenyewe1. mfumo, vyombo vya dola , Tiaraei , na taasisi nyingine zote zinazotumika kuilinda.
2. Upinzani dhaifu
Siamini mtu kama wewe Paskali anauliza swali kama hili. Kumbe tatizo ni kubwa kuliko nilivyodhaniMkuu Zillion , hili ni swali la msingi sana, na kwa bahati nzuri, baadhi yetu tuliisha jiuliza hili swali, na majibu tunayo!, kabla sijakupa majibu yangu na matokeo ya utafiti wangu, nina kaswali kadogo tuu kwako, swali lenyewe ni tukiipumzisha CCM, kuna nani wa kumpa?.
P
Hakyanani, lakini ilikuwa enzi za mzee JKN.
Never underestimate the power of stupid people in a large group.Usijibu kishabiki, jibu hoja.
Nani alisema kujipenda ni kumpa mamlaka mtu mwenye uwezo mdogo awaongoze wenye akili kubwa?
Angakuwa Hana uwezo angepewa mamlaka? Mbona wenye uwezo wameshindwa?Usijibu kishabiki, jibu hoja.
Nani alisema kujipenda ni kumpa mamlaka mtu mwenye uwezo mdogo awaongoze wenye akili kubwa?
Chadema ipi, Elections 2015 - CHADEMA ikipewa Nchi, Oktoba 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu! au hii Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?CHADEMA
wana uwezo na tukiwapa nafasi watafanya mambo makubwa tutaikwamua nchi hii kiuchumi, kisayansi, kiutamaduni na kifikra.