MAGAMBA MATATU
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 646
- 1,174
Kuna jambo ambalo sijalielewa hadi sasa, kama serikali inauwezo wa kuwalipa Tsh 80,000 kwa kujikimu, mafuta Tsh 50,000, posho za kukaa kwenye kiti 200,000 ni sawa na 330,000 kwa kila mbunge ambapo kwa siku 1 wabunge wote watalipwa milion116.8, ambapo ni sawa na bilion 28 kwa wabunge wote kwa mwaka,
>> Je serikali haina uwezo wa kutenga hizo pesa kwa mwaka mmoja ili kujenga hotel maalumu tena ya kisasa kwa ajili ya wabunge ili kupunguza matumizi ya pesa yasiyokuwa na msingi kwa miaka mingine au kwakuwa sheriana bajeti zote huwa zinafanyika bungeni kwamaana wabunge hawawezi kuweka hilo wazo na kulipitisha kwakuwa watakuwa wanakosa posho za pembeni.??
>> Mbona jengo la bunge la kisasa wamejenga kwanini hawakuamua kuwa wanakodi hotel kwa ajili ya kuendeshea vikao?????
>> Je serikali haina uwezo wa kutenga hizo pesa kwa mwaka mmoja ili kujenga hotel maalumu tena ya kisasa kwa ajili ya wabunge ili kupunguza matumizi ya pesa yasiyokuwa na msingi kwa miaka mingine au kwakuwa sheriana bajeti zote huwa zinafanyika bungeni kwamaana wabunge hawawezi kuweka hilo wazo na kulipitisha kwakuwa watakuwa wanakosa posho za pembeni.??
>> Mbona jengo la bunge la kisasa wamejenga kwanini hawakuamua kuwa wanakodi hotel kwa ajili ya kuendeshea vikao?????