Kwanini Bunge lisijenge majengo kama hotel maalumu za kulala wabunge kipindi cha Bunge??

MAGAMBA MATATU

JF-Expert Member
Jul 2, 2011
646
1,174
Kuna jambo ambalo sijalielewa hadi sasa, kama serikali inauwezo wa kuwalipa Tsh 80,000 kwa kujikimu, mafuta Tsh 50,000, posho za kukaa kwenye kiti 200,000 ni sawa na 330,000 kwa kila mbunge ambapo kwa siku 1 wabunge wote watalipwa milion116.8, ambapo ni sawa na bilion 28 kwa wabunge wote kwa mwaka,

>> Je serikali haina uwezo wa kutenga hizo pesa kwa mwaka mmoja ili kujenga hotel maalumu tena ya kisasa kwa ajili ya wabunge ili kupunguza matumizi ya pesa yasiyokuwa na msingi kwa miaka mingine au kwakuwa sheriana bajeti zote huwa zinafanyika bungeni kwamaana wabunge hawawezi kuweka hilo wazo na kulipitisha kwakuwa watakuwa wanakosa posho za pembeni.??

>> Mbona jengo la bunge la kisasa wamejenga kwanini hawakuamua kuwa wanakodi hotel kwa ajili ya kuendeshea vikao?????
 
Simple, nyumba alizoacha mkoloni wameuza, ili viongozi walale mahotelini(private hotels) sasa leo watajengaje hostels ili kupunguza gharama? wao shida yao ni kulala hotelini ili kupata ulaji labda cameron awabane na ile kitu yake.
 
a54eXt5u7l6uZx7f8AQFk+v3m9pLkAAAAASUVORK5CYII=


Hili ndo bunge la posho la TANZANIA.
 
our government is quite different as it always say what does not mean and mean what doesn't say!
...had it being education, our government ranks as graduate who can not solve primary quiz, tafuta lingine la kuuliza achana na hili mkuu.
 
Kuna jambo ambalo sijalielewa hadi sasa, kama serikali inauwezo wa kuwalipa Tsh 80,000 kwa kujikimu, mafuta Tsh 50,000, posho za kukaa kwenye kiti 200,000 ni sawa na 330,000 kwa kila mbunge ambapo kwa siku 1 wabunge wote watalipwa milion116.8, ambapo ni sawa na bilion 28 kwa wabunge wote kwa mwaka,

>> Je serikali haina uwezo wa kutenga hizo pesa kwa mwaka mmoja ili kujenga hotel maalumu tena ya kisasa kwa ajili ya wabunge ili kupunguza matumizi ya pesa yasiyokuwa na msingi kwa miaka mingine au kwakuwa sheriana bajeti zote huwa zinafanyika bungeni kwamaana wabunge hawawezi kuweka hilo wazo na kulipitisha kwakuwa watakuwa wanakosa posho za pembeni.??

>> Mbona jengo la bunge la kisasa wamejenga kwanini hawakuamua kuwa wanakodi hotel kwa ajili ya kuendeshea vikao?????

Sasa tunakoelekea ni kuua kabisa private sector, serikali kumiliki hadi hotel, duu!!
 
Back
Top Bottom