Mimi binafsi sijawahi kuogopa kifo...ninachoogopa ni yale maumivu kabla ya kifo kutokea.
Namaanisha kuna vifo vinatokea baada ya kupata ajali, unakuta unavunjikavunjika, au unaungua au unakatika, au umekanyagwa au umeugua unateseka hadi kupelekea kifo kutokea.
Ingekuwa ndani ya mwili kuna batani ukipress unazima unajifia zako bila maumivu ingekuwa poa, tatizo la kifo mara nyingi kinaambatana na maumivu ndio kinatokea.