Uwezekano upo..Ila wanasayansi wamewekewa limit katika tafiti zao coz nyingine zina madhara..wao wanaweza kufanya kitu wakiwa na malengo mazuri sema badae kinakuja kutumika ndivyo sivyo..mfano wanasayansi walifanya utafiti wa nuclear bombs kwa malengo mazuri..now inatumika kama silaha ya maangamizi...
Miongoni mwa maswali ya kwanini ambayo yanachekesha ni kama yafuatayo:
Kwanini binadamu ana miguu miwili
Kwanini Mungu aonekani
Kwanini Binadamu wanakufa
Kwanini Mungu aliumba wanaume na wanawake
Kwanini damu ni nyekundu n.k
Jingine la kuchekesha ni hili hapa:
Kwanini binadamu hawezi kuumba mtu,
Jamvi haliishi vituko, hivi unafikiri kuna mtu atakayeweza kujibu hilo swali unaloliuliza? Kajipange bwana mdogo wa Shinyanga.
Akili ya Mungu ni kama ya binadam kwa sababu alituumba kwa mfano wake.
Hapana, umekosea tena sana ukisema Mungu ametuumba kwa mfano wake. ukisoma Quran surat al ikhlas, Allah anasema: Mwenyezimungu (Allah) ni mmoja tu, Hana mshirika, Hakuzaa wala hakuzaliwa na WALA HANA ALIEFANANA NAE HATA MMOJA.
Hili ni wazo ambalo ukifikiri kwa hali ya kushidwa kweli utaliona huwezi na ni ngumu pia kutokea.
hakuna jambo ambalo limefanikiwa hapa duniani kwa kukosa utajiri wa kuwaza na kutafakari. lazima uwe na utajiri wakuwaza ndio upate kitu kipya
kwa nini ishidikane kutegeneza mwili wa mtu, hata ambao hauko hai??
Nasema hivyo nikiwa na mawazo chanya kabisa kwamba unaweza ukafata na kutegeneza kifaa kinacholingana na mfumo wa uzazi wa mwanamke kwa lengo la kupata sehemu zuri yakupatia kiumbe.
kifaa hicho kishategenezwa tunafaata taaratibu za virutubisho vinavyotakiwa kupewa ili mashine ili itegeneza kiumbe,
kwa kuanzia unaweza ukatoa kiumbe ambacho kimekufa lakin kiwe na nyama na mifupa baadaye tutatafuta namna ya kuweka uhai.
Binadam ndiye anayeumba mwingine baada ya Mungu kuumba yule wa kwanza. Mwanaume alipewa uwezo wa uumbaji.Mbegu za mwanaaume ndio zenye uhai.
kama ni hivyo sawa lakini uwezekano wa mtu kutegeneza kiumbe hai upo, tukabaliane kabsa KWAMBA BINADAM ANAWEZA KUFANYA HIVYO.
Katika maswala ya uumbaji wa binadamu jinsi anavyoelezwa kwenye vitabu vya Mungu kwamba binadam aliumbwa kwa udongo hii hoja ni kweli kabisa.
Hii hoja ni sahihi kwa sababu ya kwamba mwili wa binadamu ni udongo kutokana vyakula na Oksijeni anavyotumia katika maisha yake inatokana na mimea ambayo maisha yake kwa asilimia kubwa inategemea udongo.
Kwahiyo; Ng'ombe, kuku, na wanyama wote wanaoliwa nyama zao ni udongo.
Kwa hiyo mmea umesimama kama mashine ya kuchota kile kinachofaa kwenye udongo na kukitegeneza ili kiweze kujenga na kutegeneza mwili wa binadam kwa taratibu maalum.
Wadau na Wanasayansi wa JF, Hivi ni kweli hakuna uwezekano wa kutengeneza mwili wa binadamu kwa kutumia virutubisho muhumu vinavyopatikana kwenye vyakula tunavyokula.
Mungu alituumba kwa mfano wake, why tusiweze kuuumba na sisi mwili wa binadamu?
Nawasilisha.
Mkuu uwezekano wa binadam kuumba mtu upo.
kwa sababu zifuatazo.
1, unatakiwa kufuta mawazo ya kwamba huwezi.
2 kusoma na kuelewa mfumo wa uzazi wa mwanamke kwa uhakika.
3, kubuni kifaa kinachofanana na kufanya kazi kama mfumo wa uzazi wa mwanamke.
4, kutabua vitu na virutubisho muhimu zinawoweza kupeleka ili zile kiumbe kinachotoke kijitoe hewa zote pamoja na virutubisho.
nb. haya ni moja ya mawazo kama ukiyafanyia kazi unaweza kuwa mwanasayansi wa kwanza dunian kuumba kiumbe hai, kwa majaribio unaweza ukaanza na panya.
Aisee wewe jamaa wewe sikuwezi. Ebu naomba nipe definition ya roho kwanza hatujaendelea na mjadala wetu.
Uhuru wa kufikiri huu! kama uwezekano huo ungekuwepo wazungu kwa upekupeku wao siku nyingi wangefanya na leo isingekuwa khabari. Jambo hili ukiliangalia kwa akili tuu ya kibinaadamu unaliona gumu achilia mbali kiimani .Ina maana kazi ya wanawake kuzaa mnataka kuibinafsisha?
Mtu akishaanza na imani zisizothibitishika hata kwa a lax margin of error kama kusema "mungu alituumba kwa mfano wake" kashashindwa kwenda kisayansi zaidi na habari zake zinakaribiana zaidi na kupiga ramli kuliko uchunguzi wa kisayansi.
Mtu akishaanza na imani zisizothibitishika hata kwa a lax margin of error kama kusema "mungu alituumba kwa mfano wake" kashashindwa kwenda kisayansi zaidi na habari zake zinakaribiana zaidi na kupiga ramli kuliko uchunguzi wa kisayansi.