Kwanini BAVICHA wanakwenda Dodoma?

We MALISA wadanganye tu hao BAVICHWA. Watarudi wamevunjwa viuno hao na wala hawatafaidika lolote kwa ujinga wao!! Hiyo posho wanayoifukuzia haitasaidia chochote ukilinganisha na hasara watakayopata. Wahimizeni hao vijana wajishughulishe na mambo ya maana. Muda wa kuzurura wanaupataje?
 
Pumba tupu......
 
Safi ni vizuri kukumbushana....
BAVICHA wanaonyesha namna ya kua “responsible citizens”
 
Lizaboni unaweza kudhibitisha kuwa mimi ndiye niliyemtuma huyo uliyemuita "kijana aliyemtukana Rais?"
Hamna mikakati,usanii na maigizo havitawasaidia kusonga mbele,siku zinakatika badala ya kufanya kazi kwa nguvu kwenye halmashauri zenu,mnapanga kwenda dodoma kuwasaidia polisi kuzima mkutano wa ccm
Hivi mna akili kweli au mnawafanya wafuasi wenu wajinga?Amiri jeshi mkuu yupo kwenye mkutano,ni askari wa aina gani ataweza kumwambia mkuu wa nchi afute mkutano
 
KAKA BAVICHA WANASHANGAZA SANA. ACHENI DHARAU ZENU. MNAWEZA KUPAMBANA NA AMIRI JESHI MKUU NINYI?
 
Sema kilichojipa.
 
Mimi napenda waende tena kwa wingi ili wakajifunze kwa vitendo maana ya usemi hapa kazi tu.
 

Swadakta !
 

CHADEMA kama chama cha siasa kipo kila wilaya ya nchi hii lakini wamezuiwa kufanya mikutano ya siasa ikiwemo ya ndani. CCM pia ni chama cha siasa; haiwezekani wao wakiuke zuio la polisi.
 
UNACHEKESHA SANA KIJANA. UNA MAANA CCM NI SAWA NA CHADEMA? ACHA UTANI WEWE KIJANA. CHADEMA INATAWALA?? INA SERIKALI? ACHA UJINGA WEWE!!

Ngoja nimsaidie kujibu. CHADEMA na CCM ni vyama vya siasa vyenye tofauti nyingi; kama ulivyosema CCM ni chama tawala na CHADEMA ni chama cha upinzani. Lakini ukweli unabaki kuwa vyama hivi vipo kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa; vyote ni vyama vya siasa vinavyopaswa kuendrshwa kwa mujibu wa sheria hiyo na sheria zingine za nchi.
 
Huku ndio kuna majasiri, na wathubu! Hakuna mamburura kama wewe
 
Kwa kifupi:umezipanga hoja vizuri.

Cha kusikitisha sasa: hatoshangaza pale wasemaji na watetezi wa mkutano mkuu wa CCM watakuwa Polisi wenyewe na

Msajili wa Vyama vya Siasa...
 
NDIO MAANA CHADEMA INATAWALA NA INA SERIKALI YAKE SIYO?? ACHA NADHARIA WEWE. CCM NI CHAMA DOLA!!
 
NDIO MAANA CHADEMA INATAWALA NA INA SERIKALI YAKE SIYO?? ACHA NADHARIA WEWE. CCM NI CHAMA DOLA!!
Nimesema CHADEMA na CCM vina tofauti nyingi ikiwemo ya CCM ni chama kinachounda serikali; kikatiba hakuna chama dola. Hata kama CCM ni chama tawala bado kinalazimika kufuata sheria za nchi. Hutaki kuelewa kwa sababu umezoea ndiyoooooo?
 
Labda yawezekana kweli unachosema, sasa wewe unamaoni gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…