Leo katika pitapita zangu mitandaoni nimeona waziri Dakta Jafo amefanya uteuzi na amemteua Fred Vunjabei nikashangaa na kushtuka sana.
Tanzania Ili uwe waziri ni lazima uwe mbunge (mhimili mwingine). Kwa Sasa bunge hilo lilishavunjwa, je uhalali wa kuendelea kuwa mawaziri na kutoa amri na kufanya teuzi unatoka wapi? Tena mawaziri wengine wapo kwenye mbio za kuwania ubunge huko majimboni, je kwa nafasi hizo haionwi kwamba wanaweza kutumia nafasi hiyo kujipendelea huko majimboni?
Na ni kwanini tunaachia katiba inaendelea kujikanganya kwa kuchanganya mihimili inayojitegemea..Yani serikali ni mhimili unaojitegemea, bunge linajitegemea na mahakama inajitegemea, unamfanya mbunge anakuwa waziri..Sasa hiyo mihimili itajitegemeaje??
Maoni yangu ni kwamba hata hafla ya Rais pale ikulu ya uapisho wa viongozi kama wakuu wa mikoa , mabalozi na kadhalika haitakiwi jaji mkuu wala spika kupewa nafas ya kutoa nasaha kabisa, ushirikiano hapana Ili mihimili ijitegemee. Haitakiwi kushirikiana...hayo ni maoni tuu
SWALI langu: kwanini makatibu wakuu wa wizara ambao kimsingi ni watendaji wakuu wa hizo wizara kwa Sasa wasiendeshe hizo wizara Ili kutuondolea taharuki sisi watanzania ambao tuna vishauku vya kujua mambo.
NB: Ikiwa Kuna SHERIA inaowaruhusu kuendeleza KUKAA kwenye hizo ofisini wakati kikatiba Ili uwe waziri lazima uwe mbunge na bunge limeshavunjwa basi SHERIA hiyo ibadilishwe MAANA kikatiba hawawezi kuwa na uhalali wa kuendelea kuwa mawaziri
Tanzania Ili uwe waziri ni lazima uwe mbunge (mhimili mwingine). Kwa Sasa bunge hilo lilishavunjwa, je uhalali wa kuendelea kuwa mawaziri na kutoa amri na kufanya teuzi unatoka wapi? Tena mawaziri wengine wapo kwenye mbio za kuwania ubunge huko majimboni, je kwa nafasi hizo haionwi kwamba wanaweza kutumia nafasi hiyo kujipendelea huko majimboni?
Na ni kwanini tunaachia katiba inaendelea kujikanganya kwa kuchanganya mihimili inayojitegemea..Yani serikali ni mhimili unaojitegemea, bunge linajitegemea na mahakama inajitegemea, unamfanya mbunge anakuwa waziri..Sasa hiyo mihimili itajitegemeaje??
Maoni yangu ni kwamba hata hafla ya Rais pale ikulu ya uapisho wa viongozi kama wakuu wa mikoa , mabalozi na kadhalika haitakiwi jaji mkuu wala spika kupewa nafas ya kutoa nasaha kabisa, ushirikiano hapana Ili mihimili ijitegemee. Haitakiwi kushirikiana...hayo ni maoni tuu
SWALI langu: kwanini makatibu wakuu wa wizara ambao kimsingi ni watendaji wakuu wa hizo wizara kwa Sasa wasiendeshe hizo wizara Ili kutuondolea taharuki sisi watanzania ambao tuna vishauku vya kujua mambo.
NB: Ikiwa Kuna SHERIA inaowaruhusu kuendeleza KUKAA kwenye hizo ofisini wakati kikatiba Ili uwe waziri lazima uwe mbunge na bunge limeshavunjwa basi SHERIA hiyo ibadilishwe MAANA kikatiba hawawezi kuwa na uhalali wa kuendelea kuwa mawaziri