Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,991
- 69,385
inategemea na nature ya wapenzi wao na jinsi walivyowazoesha
Mapenzi upofu
kweli mna tabia mbaya sana wanawake pesa mnaoma na sio za maendeleo na hata mpewe milioni huwa hazionekani zilipo na hakuna mtu msiri kama mwanamke tena kwenye pesa hapana aise sema uzuri sio weto ila wengi waoTatizo mmekuwa wagumu sana na mkiombwa hela , basi huwa ni matangazo kwa kwenda mbele na kutupa majina ya ajabu ajabu.
Bora huyo kajua kujiongeza hata mie sikumbuki nimeomba lini hela kwa sababu vilivyo vingi naweza jihudumia kwa pesa yangu mwenyewe. Ukiona naomba pesa basi jua nimezidiwa sanaa au naomba kwa ajili ya kumpima mtu imani.
Hivi kwani lazima uombe pesa na msichana..???Wakati nimekaa sehemu flani pub kuna wanawake wawili nilikuwa nasikia wakizungumzaa......
Mmoja akawa anamwambia mwenzake Mimi hata niwe shida vipi au tatizo la namna gani hawezi kumuomba pesa mpenzi wake.
Anakwambia ni bora akope pesa kuliko kumuomba pesa mpenzi wake na alikuwa akiongea kwa uchungu akimuelezea mwenzie.
Anakwambia yupo tayali kumuelezea shida zake mtu baki kuliko mpenzi wako.
Je tatizo ni nini mpaka hataki na hawezi kumuomba au anaogopa kumuelezea mwanaume wake shida zakeee
Hivi lazima uombe pesa?? Shule mumekwenda, kazi mnafanya, wazazi mnao, kila kitu mnapcho sasa huo UMATONYA wa nini???Tatizo mmekuwa wagumu sana na mkiombwa hela , basi huwa ni matangazo kwa kwenda mbele na kutupa majina ya ajabu ajabu.
Bora huyo kajua kujiongeza hata mie sikumbuki nimeomba lini hela kwa sababu vilivyo vingi naweza jihudumia kwa pesa yangu mwenyewe. Ukiona naomba pesa basi jua nimezidiwa sanaa au naomba kwa ajili ya kumpima mtu imani.
Mimi bana sipendi kuombwa hela napenda aniambie ana shida gani ili nitafute solution..wakt mwingine sio kila kitu soln ni hela.Wakati nimekaa sehemu flani pub kuna wanawake wawili nilikuwa nasikia wakizungumzaa......
Mmoja akawa anamwambia mwenzake Mimi hata niwe shida vipi au tatizo la namna gani hawezi kumuomba pesa mpenzi wake.
Anakwambia ni bora akope pesa kuliko kumuomba pesa mpenzi wake na alikuwa akiongea kwa uchungu akimuelezea mwenzie.
Anakwambia yupo tayali kumuelezea shida zake mtu baki kuliko mpenzi wako.
Je tatizo ni nini mpaka hataki na hawezi kumuomba au anaogopa kumuelezea mwanaume wake shida zakeee
Aaah wapi!kwahiyo akikupa hupokei?
Tatizo linaanzia tukitoa mnatuona mabwege halafu nyie ndio wajanja.
Ahsante sana nashukuru. Nakupenda pia mdogo wangu.Asante. Nafurahi hujambo...jumamosi njema kwako pia
nakupenda.
Kwa kupenda miteremko sasa!!! Hebu pambaneni na uanaume wenu jamani.Huyu ndo wakutolea mahari uyu
Da shemeji tumeshindwa kupambana.Kwa kupenda miteremko sasa!!! Hebu pambaneni na uanaume wenu jamani.
Mwanaume hashindwi jamani kaka shemeji, mjitahidi tu maana hamna namna.Da shemeji tumeshindwa kupambana.