Mosesrex
Member
- Aug 8, 2016
- 93
- 51
Nimekutana na watu wengi sana likija suala la kua binadamu ni mnyama wengi hawataki ku admit kabisa na atakupinga kisawa sawa.
Kuna binadamu mpaka leo hawakubali kua binadamu ni mnyama .binadamu amejiona yeye ndio yeye, Mpaka kujitenga na wenzake na anaenda kuwaangalia anasema ngoja nikatalii kuwaona wanyama ,
Mnyama akiuliwa anaonekana kawaida tu na binadamu akiuliwa eti damu ya mtu haiendi bure, mnyama ni mnyama tu kubali kataa sote ni wanyama hua nacheka sana,
Mimi hua nawaambia tu ukitaka ku prove wewe ni mnyama nenda porini kwa mzee simba mla nyama, akikuacha wewe sio mnyama kweli, maana simba hula wanyama.
Kuna binadamu mpaka leo hawakubali kua binadamu ni mnyama .binadamu amejiona yeye ndio yeye, Mpaka kujitenga na wenzake na anaenda kuwaangalia anasema ngoja nikatalii kuwaona wanyama ,
Mnyama akiuliwa anaonekana kawaida tu na binadamu akiuliwa eti damu ya mtu haiendi bure, mnyama ni mnyama tu kubali kataa sote ni wanyama hua nacheka sana,
Mimi hua nawaambia tu ukitaka ku prove wewe ni mnyama nenda porini kwa mzee simba mla nyama, akikuacha wewe sio mnyama kweli, maana simba hula wanyama.