Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,297
- 18,046
Chato kwa mwendazakeATCL kuendelea kwenda chato ni upuuzi mtupu kwani ndege zinaenda tupu kabisa. Hasara ni kubwa sana.
Chato kwa mwendazakeATCL kuendelea kwenda chato ni upuuzi mtupu kwani ndege zinaenda tupu kabisa. Hasara ni kubwa sana.
Hivi ni Mwendazake au Mwenda kulima?Chato kwa mwendazake
Mbeya hakuna uwanja. Uwanja upo Songwe
Masahihisho Uwanja wa ndege (Songwe Airport) uko mbeya eneo linaitwa Usongwe sio mkoa wa SongweWacha uwongo, Mbeya haijawahi kuwa na airport. Unataka ndege kubwa kama bombadier itue Mwanjelwa? Uwanja wa ndege upo Songwe, mkoa jirani na Mbeya.
Nimekuelewa chifu. Basi ungesema ATCL qameondoa route ya Songwe airport tungekuelewa kirahisiMasahihisho Uwanja wa ndege (Songwe Airport) uko mbeya eneo linaitwa Usongwe sio mkoa wa Songwe
Na huu ulianzishwa baada ya kufunga ile Airport ya zamani juu ya Block T/Isengo alipokufa Akukweti
Mkoa wa Songwe hakuna uwanja wa ndege
Mwenda kupumzikaHivi ni Mwendazake au Mwenda kulima?
Hahahaaa mie sio mtoa mada mkuu. Nilirekebisha tu hapo watu huwa wanachanganya eneo la Songwe ndani ya mbeya na mkoa wa SongweNimekuelewa chifu. Basi ungesema ATCL qameondoa route ya Songwe airport tungekuelewa kirahisi
Hahahahahah ....poa chifu! K vant imeshuka bei, siyo rahisi kujua who is who kwenye thread. Mshana Jr ni shahidi kuwa SSH katupunguzia mzigo wa makato kupitia vileo.Hahahaaa mie sio mtoa mada mkuu. Nilirekebisha tu hapo watu huwa wanachanganya eneo la Songwe ndani ya mbeya na mkoa wa Songwe
Weka picha zikiwa zinaenda tupu na kurudi tupu.ATCL kuendelea kwenda chato ni upuuzi mtupu kwani ndege zinaenda tupu kabisa. Hasara ni kubwa sana.
Wewe unalelewa na mabeberu ya TZ utayajua?ATCL kuendelea kwenda chato ni upuuzi mtupu kwani ndege zinaenda tupu kabisa. Hasara ni kubwa sana.
Achana na huyo analelewa huko Ulaya ya TZ hawezi kuyajua mkuu!!Weka picha zikiwa zinaenda tupu na kurudi tupu.
shida ni kiwanja kibovu,.. midege imejaa tele na mingine inakuja soonWanabodi nimeangalia kwenye booking option ya ATCL nimeona hakuna uwanja wa Mbeya na bada ya kuliza nikaambia labda atcl inapunguza safari kutokana na kuwa na upungu wa ndege.je hii ni kweli?
Sio mkoa wa songwe bwana ni eneo linaitwa songwe and mkoa wa mbeya na songwe umetenganishwa na MTO songwe ambao upo mbele zaidi karibia na senjele so uwanja unapatikana mkoani mbeya badoWacha uwongo, Mbeya haijawahi kuwa na airport. Unataka ndege kubwa kama bombadier itue Mwanjelwa? Uwanja wa ndege upo Songwe, mkoa jirani na Mbeya.
Labda ATCL ya Bangladesh...Umeangalia sehem gan?
Nikajuaga uwanja upo Mbozi bana, kumbe wametupiga chenga. Mm Mbeya mjini nimeendaga once, siyo mwenye kabsaaa! Katika hiyo trip moja Nasoma nilifikaga🤓Sio mkoa wa songwe bwana ni eneo linaitwa songwe and mkoa wa mbeya na songwe umetenganishwa na MTO songwe ambao upo mbele zaidi karibia na senjele so uwanja unapatikana mkoani mbeya bado
Uko sahihiMasahihisho Uwanja wa ndege (Songwe Airport) uko mbeya eneo linaitwa Usongwe sio mkoa wa Songwe
Na huu ulianzishwa baada ya kufunga ile Airport ya zamani juu ya Block T/Isengo alipokufa Akukweti
Mkoa wa Songwe hakuna uwanja wa ndege