Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,234
- 17,826
Angekuweka kwenye chupa kama wabongo walivyowekwa kwenye chupa na ccmNakumbuka siku hiyo tulioga wote. Kutokana na malavidavi, tukashave pamoja bafuni. Nikatarajia ataflash zile nywele ziende na maji, ila nashangaa mwenzangu kazikusanya. Namuuliza kulikoni, anasema ataenda kuzitupa nje. Kumbana sana, naona anazungumzia mambo ya mila za kwao. Nikaona hapa sio, nikapiga chini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mkuu kwa hilo bora niendelee kupokea lawamaMkuu ulifanya ukatili sana
Ungemuoa kimasihara tu
sahihi kabisaTatizo unakuta gals wengi apart from sex have nothing more to ofcer
Unakuta vizinga vingiiiii au anataka kuolewa mapema na wewe hujajipanga. Kuna mdada niliachana nae baada ya kunambia yeye anataka nimuoe after 4 yrs,wakati Mimi after hiyo miaka nitakuwa nakaribia age ya Z. Z. K.
So ni vipi utajua igizo
Haya yote kuna mafundi wa kuyafanya ... Ila huwa wanayafanya kwa maagizo tu ili waweze ku-win your heartHow she treat me with caring,Loyalty,Respect and Appreciation
Hahaha watu wabayaMimi wangu nilimpata nikampenda na kumuamini sana, ndani ya miezi miwili akanisihi sana nikajitambulishe kwa kaka yake, nikakomaa akaforce nikaona sio kesi tukapanga siku itafika nikaenda kujitambulisha ,baada ya tukio lile tu kupita zikaanza hekaheka za ndoa ,nikamuuliza mbona mbona mapema sana ? Yeye wimbo ukawa ni ndoa ndoa ,nikakaa nikatafakari sana nikagundua pale hakuna mwanamke wa kuoa ila aliforce hivyo ili tu aonekane pia kapitia ktk ndoa,
Niliamua kuyeyuka kama chumvi ndani ya maji mpaka kesho hua anaendelea kinilaani
Sent using Jamii Forums mobile app
IndeedKuna sababu nyingi nionavyo mimi,wanaume ni watu wa kutamanitamani sana.Mwanaume kukufuatilia sana au kukupa unachotaka haina maana kafika (ingawa hii inatokea),inawezekana anatafuta njia uingie mtegoni akumege,anaweza hata akaahidi/kukubali ndoa.
Muhimu ni 'give yourself time' mjuane vizuri.Don't pretend,be yourselves wakati mpo pamoja.Kuna tabia na matendo ambavyo vitamgusa mwanamme na yeye mwenyewe atajikita kwako.Wanaume wengi wana 'pull back' sababu there is nothing to make them stay'.
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahaZile mbwembwe za
bby bby
I love youuuu nyingi nyingi
I miss you my love
Zitakatika baada ya muda si mrefu.
Ukiwa usikii tena hizo kauli ujue maigizo yamefika kikomo
HahahaNakumbuka siku hiyo tulioga wote. Kutokana na malavidavi, tukashave pamoja bafuni. Nikatarajia ataflash zile nywele ziende na maji, ila nashangaa mwenzangu kazikusanya. Namuuliza kulikoni, anasema ataenda kuzitupa nje. Kumbana sana, naona anazungumzia mambo ya mila za kwao. Nikaona hapa sio, nikapiga chini.
Sent using Jamii Forums mobile app
What ...lolNakumbuka siku hiyo tulioga wote. Kutokana na malavidavi, tukashave pamoja bafuni. Nikatarajia ataflash zile nywele ziende na maji, ila nashangaa mwenzangu kazikusanya. Namuuliza kulikoni, anasema ataenda kuzitupa nje. Kumbana sana, naona anazungumzia mambo ya mila za kwao. Nikaona hapa sio, nikapiga chini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ndio huwaga kuna mtihaniTatizo unakuta gals wengi apart from sex have nothing more to ofcer
Kweli kabisaKuna sababu nyingi nionavyo mimi,wanaume ni watu wa kutamanitamani sana.Mwanaume kukufuatilia sana au kukupa unachotaka haina maana kafika (ingawa hii inatokea),inawezekana anatafuta njia uingie mtegoni akumege,anaweza hata akaahidi/kukubali ndoa.
Muhimu ni 'give yourself time' mjuane vizuri.Don't pretend,be yourselves wakati mpo pamoja.Kuna tabia na matendo ambavyo vitamgusa mwanamme na yeye mwenyewe atajikita kwako.Wanaume wengi wana 'pull back' sababu there is nothing to make them stay'.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea vizuri.Funga kazi ni kucheat.Fanya yote ila mwanaume ukijua mwanamke wako amegawa kwa kidume mwingine maumivu yake ni makubwa na hayavumiliki.Kwa experience yangu.
Kila mtu anakuwa na turn offs au deal breakers zake. Tunaweza ziita "Vunja Mkataba" zake. Wanaume wengi naona tunazo common kadhaa ila nyengine tunapishana kama ilivyo tabia, hatufanani.
Unakuta mtu unamkubali vzur, lakini unakuja kupata deal breaker, inakulazmu ujitoe.
Unakuta,
- Mdada analazimisha ndoa wakati wewe bado hujapitisha TBS vizuri, au tu kama mwanaume unaona conditions bado haziko sawa, ila mwenzio anakupa timeline na kuforce sana. Unajikuta unaamua acha usiwe kikwazo kwenye maisha yake. Unajitoa.
- Unagundua mwenzio ana mindset flan unaona kabisa hii itakua shida mbeleni.
- Unagundua si muaminifu, ni mwizi, mshirikina, au ana tamaa sana ya mali na maisha, au ushindani usio wa maana. Unaona isiwe kesi, unajitoa.
- Labda kuna tabia haikupendezi na kila unavyojaribu habadiliki. Hapa wengine unaskia wakisema "Me ndo nilivyo hata wengine wameshanizoea hivi." kimoyo moyo unasema sawa. Ila mimi si wengine. Unajitoa.
Wengine waongezee deal breaker zao.
Mfano mimi kuna tabia naweza kukuvumilia maana najua binadamu hatuja kamilika. Ila ukini cheat, aisee hilo Nimejigundua siwezag kusamehe. Nitajitoa!
Ongezea za kwako...
Sent using Jamii Forums mobile app
umeongea kweliTatizo unakuta gals wengi apart from sex have nothing more to ofcer