Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
Nasikiliza Clous FM. Inaonekana shida ya kiwanda cha Dangote ni uhaba wa makaa ya mawe. Makaa ya kitai yanatumika na Dangote, Kenya, Tanga etc.
Hilo linafanya wazidiwe na mahitaji. Kwanini serikali isifute umiliki wa mgodi wa Kiwira kwa sababu mmiliki wake ameshindwa kuuendeleza? Mbona Sumaye ameporwa shamba aliloshindwa kuendeleza? Je, mgodi si una faida kuliko 35 acres?
Mgodi huu ungekuwa unapiga kazi watu wa Tanga, Kenya, Arusha etc wangenunua makaa huko na huko kitai wangemuachia Dangote. Tena na umbali wangekuwa wamepunguziwa.
Hilo linafanya wazidiwe na mahitaji. Kwanini serikali isifute umiliki wa mgodi wa Kiwira kwa sababu mmiliki wake ameshindwa kuuendeleza? Mbona Sumaye ameporwa shamba aliloshindwa kuendeleza? Je, mgodi si una faida kuliko 35 acres?
Mgodi huu ungekuwa unapiga kazi watu wa Tanga, Kenya, Arusha etc wangenunua makaa huko na huko kitai wangemuachia Dangote. Tena na umbali wangekuwa wamepunguziwa.