Mbogho wa 4
Member
- Dec 28, 2014
- 5
- 0
Habar wana JF.
Ni matumaini yangu yu wazima japo si wote, tulioamka hivyo ila nia na madhumuni ya kushusha kamba hii inasikitisha kuona LUNDO la vijana mtaani hawana kazi je! Nikweli hawapendi kufanya kazi? Au kazi za kufanya hakuna?
Kinachosikitisha zaid kila mwaka vijana wanahitimu masomo wengi wao huingia mtaani kuangalia upepo wa maisha umelalia wapi then wanafata.
nimekaa na raia wengi na kuhoji matatizo yao japo wengi matatizo yao yanafanana kilio chao kikubwa ni kwamba AJIRA HAZIPATIKANI wapo wengi hupita vyuo kusomea fani mbali mbali mf:VETA kuna fani nyingi ila unapomaliza kozi inakuwa ni vigumu kuja kupata ajira swali ni hivi je kazi ni kuajiliwa tu? Ama hata kujiajiri ni kazi pia?
Kama kujiajiri ni kazi pia ya kupiga hatua kimaendeleo je! MITAJI wanapata wapi?
Ni matumaini yangu yu wazima japo si wote, tulioamka hivyo ila nia na madhumuni ya kushusha kamba hii inasikitisha kuona LUNDO la vijana mtaani hawana kazi je! Nikweli hawapendi kufanya kazi? Au kazi za kufanya hakuna?
Kinachosikitisha zaid kila mwaka vijana wanahitimu masomo wengi wao huingia mtaani kuangalia upepo wa maisha umelalia wapi then wanafata.
nimekaa na raia wengi na kuhoji matatizo yao japo wengi matatizo yao yanafanana kilio chao kikubwa ni kwamba AJIRA HAZIPATIKANI wapo wengi hupita vyuo kusomea fani mbali mbali mf:VETA kuna fani nyingi ila unapomaliza kozi inakuwa ni vigumu kuja kupata ajira swali ni hivi je kazi ni kuajiliwa tu? Ama hata kujiajiri ni kazi pia?
Kama kujiajiri ni kazi pia ya kupiga hatua kimaendeleo je! MITAJI wanapata wapi?