Kwanini abiria hawamtetei Konda wa daladala?

Kwanini abiria hawamtetei Konda wa daladala?

nikajua umemtaja huyu ndugu yetu wa tuoge kwanza ndio tuje mjini
 
Mkuu Punguza Lesi Kuandika Mara Ma Email Atujui Ndio Ushamba Au Ndio Ugeni Na Rudi Punguza Lesi Mada Yako Nzuri Tu Konda Ww Unaita Kinda Wale Jamaa Nipasua Kichwa Kipindi Nipo Skul Walinitesa Sana Utakuta Gari Alina Abiria Lakin Anakuambia Upandi Njaa Inauma Na Jua Linazama Ukipanda Kwa Lazima Anakuvuta Shati Anakudharirisha Mbele Za Watu Aibu
 
Kondakta hawapendwa kwa sababu huoneka kama akina zakayo wakusanya kodi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hongera maaa mie konda siwai kumtetea mpaka nakufa wamenitesa sana wale, hapo katikati ya jiji bahati mbaya o level nilimalizia shule ya day basi ni daladala tu wakaninyanyasa hao, nimeenda chuoni sikai hostel nikawa napanda daladala balaa likanikuta tena, sina hamu na makondakta mie
Polee.
 
Hujambo ndugu msomaji.

Leo nataka unijibu hima!
Hivi nikwanini watu hawawi upande Wa makonda? Ipo hivi hata kutokee ugomvi kwenye daladala kati ya konda na abiria, watu wote watasimama upande Wa abiria bila kujali chanzo ninani. Hata ikiwa abiria ni mkorofi bado watu watamtetea tu. Sababu ni nini? Sijaona hata Siku moja abiria akimtetea kinda dhidi ya abiria.
info.masshele@gmail.com
waulize bodaboda mmoja akikwaruzwa tu na semi-trela inakuwaje
 
Kwasababu tunalipa nauli zetu na isipotimia konda lazima awe mnoko.
 
Huwajui makonda wa daladala wewe, sio watu wale Wana roho mbaya sanaaa..... Sijui wanajikutaje yaani, ndio maana huwezi kukuta abiria anamtetea konda sababu tu ya hiyo tabia mbaya yao.

Nakumbuka Kuna siku konda mmoja alinisukuma kutoka kwenye gari bahari nzuri sikuanguka, na ningeanguka lazima gari nyingine ingenikanyaga kichwa..... Makondakta wa daladala sio watu
[emoji87][emoji87]
 
Back
Top Bottom