Kwanini abiria hawamtetei Konda wa daladala?

Kwanini abiria hawamtetei Konda wa daladala?

Mstahiki Mea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
6,319
Reaction score
11,893
Hujambo ndugu msomaji.

Leo nataka unijibu hima!
Hivi nikwanini watu hawawi upande Wa makonda? Ipo hivi hata kutokee ugomvi kwenye daladala kati ya konda na abiria, watu wote watasimama upande Wa abiria bila kujali chanzo ninani. Hata ikiwa abiria ni mkorofi bado watu watamtetea tu. Sababu ni nini?
 
wana maneno ya shombo sana kama konda wao mkuu
 
Huwajui makonda wa daladala wewe, sio watu wale Wana roho mbaya sanaaa..... Sijui wanajikutaje yaani, ndio maana huwezi kukuta abiria anamtetea konda sababu tu ya hiyo tabia mbaya yao.

Nakumbuka Kuna siku konda mmoja alinisukuma kutoka kwenye gari bahari nzuri sikuanguka, na ningeanguka lazima gari nyingine ingenikanyaga kichwa..... Makondakta wa daladala sio watu
 
Mimi nilishawahi mtetea konda na ningekua na nguvu ningewapiga hata mawe waliokua wanamuonelea yule konda.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hongera maaa mie konda siwai kumtetea mpaka nakufa wamenitesa sana wale, hapo katikati ya jiji bahati mbaya o level nilimalizia shule ya day basi ni daladala tu wakaninyanyasa hao, nimeenda chuoni sikai hostel nikawa napanda daladala balaa likanikuta tena, sina hamu na makondakta mie
 
Huwajui makonda wa daladala wewe, sio watu wale Wana roho mbaya sanaaa..... Sijui wanajikutaje yaani, ndio maana huwezi kukuta abiria anamtetea konda sababu tu ya hiyo tabia mbaya yao.

Nakumbuka Kuna siku konda mmoja alinisukuma kutoka kwenye gari bahari nzuri sikuanguka, na ningeanguka lazima gari nyingine ingenikanyaga kichwa..... Makondakta wa daladala sio watu
Mkuu usikoment ..nakuomba..hajazungumzia makonda ..soma vizuri alivyo andika
 
Kama ulishawahi kuwa mwanafunzi utaelewa makonda ni watu wa namna gani..
Enzi za shule ukitoka hom unawaza masomo na konda tu..
 
Mimi kuna konda aliruhusu gari iondoke na wakati nimetanguliza mguu tu, kilichotokea sikufahamu ila nilijikuta chini na gari imekimbia,kisa Wanakimbizan kuwahi abiria, nilikuwa nikanyagwe na tairi la nyuma nife, nashukuru kuna mtu aliniwahi
 
Mimi kuna konda aliruhusu gari iondoke na wakati nimetanguliza mguu tu, kilichotokea sikufahamu ila nilijikuta chini na gari imekimbia,kisa Wanakimbizan kuwahi abiria, nilikuwa nikanyagwe na tairi la nyuma nife, nashukuru kuna mtu aliniwahi
Pole sana Wana roho ya kishenzi wale viumbe
 
Back
Top Bottom