Kwanin Mwigulu Nchemba yupo Kimya

Kwanin Mwigulu Nchemba yupo Kimya

yule mchumi grade one hawezi ku deal na utoto kama wa bashite
Nae kama Bashite tu...jina LA ubatizo lingine.shule ya msingi lingine..sekondari pia ...akifungua kinywa wabongo wanamgeuzia kibao
 
Wadau Sote Tunafaham kwa sasa Nini Kinachoendelea Ham Mjin Dsm

Kwa wasio Faham Ni Kwamba RC Makonda kuvamia Kituo cha Clouds Media Group

Tumeona watu Mbali mbali Wakilizungumzia Hili Swala

Lakin Wadau Swali La Kujiuliza Kwanin

Waziri Mwenye Dhaman Mwigulu Nchemba Kukaa kimya......??

Je Kuna Nin Kinachoendelea......??
Wadau Sote Tunafaham kwa sasa Nini Kinachoendelea Ham Mjin Dsm

Kwa wasio Faham Ni Kwamba RC Makonda kuvamia Kituo cha Clouds Media Group

Tumeona watu Mbali mbali Wakilizungumzia Hili Swala

Lakin Wadau Swali La Kujiuliza Kwanin

Waziri Mwenye Dhaman Mwigulu Nchemba Kukaa kimya......??

Je Kuna Nin Kinachoendelea......??
 
Wadau Sote Tunafaham kwa sasa Nini Kinachoendelea Ham Mjin Dsm

Kwa wasio Faham Ni Kwamba RC Makonda kuvamia Kituo cha Clouds Media Group

Tumeona watu Mbali mbali Wakilizungumzia Hili Swala

Lakin Wadau Swali La Kujiuliza Kwanin

Waziri Mwenye Dhaman Mwigulu Nchemba Kukaa kimya......??

Je Kuna Nin Kinachoendelea......??
Mwigulu anausoma mchezo ukikurupuka unaweza kudandia gari kwa mbele kama Nape huoni kasusiwa hata na Kituo cha tv cha serikali kilichoko.chini ya wizara yake?,
Mwache mwigulu anataka tena 2025 ifike aandike majina yake kwenye mawe.
 
Kwasababu analinda kibarua chake. kumeza ngumu kutema ngumu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom