Nkobe
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 2,230
- 3,333
Mimi imenitokea mara kadhaa
Tunaamka asubuhi, mke wangu anadeki nyumba, anaosha vyombo anapika chai na kunikaribisha chai wakati huo mimi nikiwa kwenye computer nachart na watu kadhaa
Baada ya hapo anachukua Rundo la nguo anafua, anapika chakula cha mchana na kunikaribisha chakula, lakini wakati huo nikiwa kwenye computer napitia mitandao kadhaa. Hii imewahi kukutokea, yaani mkeo anafanya kazi za nyumbani bila wewe kumsaidia lakini hatoi lawama kwako, wala aombi msaada?
Hii ni true story, mke wangu ni degree holder. Tendo hili linanifanya nimpende sana mke wangu
Tunaamka asubuhi, mke wangu anadeki nyumba, anaosha vyombo anapika chai na kunikaribisha chai wakati huo mimi nikiwa kwenye computer nachart na watu kadhaa
Baada ya hapo anachukua Rundo la nguo anafua, anapika chakula cha mchana na kunikaribisha chakula, lakini wakati huo nikiwa kwenye computer napitia mitandao kadhaa. Hii imewahi kukutokea, yaani mkeo anafanya kazi za nyumbani bila wewe kumsaidia lakini hatoi lawama kwako, wala aombi msaada?
Hii ni true story, mke wangu ni degree holder. Tendo hili linanifanya nimpende sana mke wangu