DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 17,983
- 45,488
Kwani ukiwa mrefu na huna Hela lazima uitwe "Tolu"
Hahahah mi naitwa waiti je sbb sina hela??
Yule broo Mrefu anaeendesha PajeroNa ukiwa mrefu na una hela unaitwaje?
hahahahahahaaYule broo Mrefu anaeendesha Pajero
Hangaika kwanza na X wako na mwanajeshiKwani ukiwa mrefu na huna Hela lazima uitwe "Tolu"
Au, yule jamaa "kapanda" halafu ana PajeroYule broo Mrefu anaeendesha Pajero
Ana usongo naye kwa vile anapakua K ya X wake. Waswahili wana matatizo, K umeiacha unataka isipate mlaji wakati wewe unakula K nyingine😅Au labda Mwanajeshi ni mrefu?
Hapana mkuu mwenye hela anaitwa Mo (Mo Salah, Mo Dewji, Mo Farah) ambae ni kapuku ndio naitwa Mudi au Mwamwedi (Mudi Shoeshine, Mwamedi Shambaboy)Mudi.
Mwamedi.
Mmoja hapo ana pesa mwingine hana
mo ibrahimu, yule bilionea wa sudanHapana mkuu mwenye hela anaitwa Mo (Mo Salah, Mo Dewji, Mo Farah) ambae ni kapuku ndio naitwa Mudi au Mwamwedi (Mudi Shoeshine, Mwamedi Shambaboy)
Dah.Ukiwa mnene na huna hela unaitwa BONGE ila kama una hela unaitwa BIG.