Kwa sababu unakuwa umekonda muonekano unarefuka mwenge njaaKwani ukiwa mrefu na huna Hela lazima uitwe "Tolu"
Wewe jua limekuadhiriHahahah mi naitwa waiti je sbb sina hela??
hapo wote choka mbaya ila kuna mmoja ana unafuu. Mwenye hela anaitwa Mo.Mudi.
Mwamedi.
Mmoja hapo ana pesa mwingine hana
hahahahahaMudi.
Mwamedi.
Mmoja hapo ana pesa mwingine hana
biggie mwenye mpunga, kapuku anaitwa bongeMimi naitwa biggie sijui ipoje pia wakuu