Achana na utopolo wanahisi simba kufungwa na kaizer chief kutawaongezea wao point vpl ila ukweli utabaki kuwa ukweli simba ni timu bora Africa.Barca walishawai kupigwa goli tano na Messi akiwemo,sio ajabu Simba kupigwa goli nne.
Nyie wenye hizo quality mnacheza ligi gani?? Ila utopolo alowaita manyani hakukosea kabisa.Hakuna cha kuzidiwa. Hamna Quality na Strength za kucheza hizo level.
Kwani ni mara ya 1 kutolewa hizo level ?
Ungeandika haya kabla ya mechi kuanza ningekuelewa, lakini sasa unaonyesha frustration tu za utopolo!! Pole !1. Nilishangaa sana watu wakiichukulia poa timu ya Machief. Kinachoisumbua Simba kwa sasa ni ubora wa ligi ya South Africa. Ligi ya TZ bado ni changa na haina Qualities wala Woow factor.
2. Kwa forward gani Simba ifike nusu fainali, yule mla chewing gum ? Mpira wa kupigiana pasi zisizo na tija wala manufaa eti Biriani ; wachezaji warudi Home kupumzika
3. Mpira ni INVESTMENT, wachezaji wa machief wana miili na ligi yao inawapa ushindani mkubwa. Tukisema Simba ni Under dog mtuelewe.
4. Kwa kuwakumbusha Tu Kaiser ni ya 11 kwenye msimamo wa ligi, huku simba ikiongoza ligi ya TFF.
Nyie wenye hizo quality mnacheza ligi gani?? Ila utopolo alowaita manyani hakukosea kabisa.
wenyewe wanasema kwa Simba hii hata Barcelona anakaa,huwa nawasiliza nawaacha tu.1. Nilishangaa sana watu wakiichukulia poa timu ya Machief. Kinachoisumbua Simba kwa sasa ni ubora wa ligi ya South Africa. Ligi ya TZ bado ni changa na haina Qualities wala Woow factor.
2. Kwa forward gani Simba ifike nusu fainali, yule mla chewing gum ? Mpira wa kupigiana pasi zisizo na tija wala manufaa eti Biriani ; wachezaji warudi Home kupumzika
3. Mpira ni INVESTMENT, wachezaji wa machief wana miili na ligi yao inawapa ushindani mkubwa. Tukisema Simba ni Under dog mtuelewe.
4. Kwa kuwakumbusha Tu Kaiser ni ya 11 kwenye msimamo wa ligi, huku simba ikiongoza ligi ya TFF.
Wewe mmekula 4 acha kujibaraguza wewe.Tulia Wewe,Uzi Wako na Mechi na Namungo umeukimbia mbio kule..... Hivi mna nini nyie Uto hii tabia Riadha mmeianza lini?
Usifananishe Barcelona na mavi ya ngedele weweBarca walishawai kupigwa goli tano na Messi akiwemo,sio ajabu Simba kupigwa goli nne.
endelea kuamini kwa mkapa hatoki mtu,na mtaaibika pale paleNi Utopolo tu ndo wanaoamini mechi imeisha, labda niwakumbushe maajabu ya mwaka 2017.
In 2017 UCL Quarter finals
PSG 4-0 Barcelona (1st leg)
Barcelona 6-1 PSG ( 2nd leg)
Kwenye mpira lolote linawezekana.
Kumbe wew ni mwananchi....Dah Poleni Simba ila na nyie mmeshindwa hata kupaki Bus baada ya goli la kwanza tu aargh
Yeah daima mbele nyuma mwiko! Wewe ni 4G mkuu?😀Kumbe wew ni mwananchi....
Hahahaha....Hapana mkuu Mi napeperusha Bendera za Njano na kjani tokea mitaa Ya JangwaniYeah daima mbele nyuma mwiko! Wewe ni 4G mkuu?
Lawama zote kwenu Simba na baba yenu tff, mngecheza mechi ya may 8 na Ile ya Coastal union J4 huenda Kuna kitu mngegain kwa faida ya mech ya leo, wenzen Kaiser walicheza mechi mbili za ligi kabla ya mechi ya Leo na nadhani zimewaongezea credit kwenye game ya leo. Sasa tff na vilabu vyetu vijifunze, kuhairisha mechi na kutengeneza vipolo haisadii timu zetu kwa lolote. Ni bora Ile kanuni ya FIFA ya min 72hrs btn one game and another izingatiwe.
Ok uko vizuri mkuu😀 achana na simba wa kufugwa haoHahahaha....Hapana mkuu Mi napeperusha Bendera za Njano na kjani tokea mitaa Ya Jangwani
Hee kwahiyo nyie mmeshindwa kubahatisha pia mkuu?😀 kubalini tu 4G leo🏃♀️Kwa mpira gani walio nao goal zote za kubahatisha hakuna goal la kutengeneza pale
Hili limechangia sana. Wamekaa wiki mbili bila mechi ya ushindani. Mechi ya coastal union walitakiwa wacheze.Lawama zote kwenu Simba na baba yenu tff, mngecheza mechi ya may 8 na Ile ya Coastal union J4 huenda Kuna kitu mngegain kwa faida ya mech ya leo, wenzen Kaiser walicheza mechi mbili za ligi kabla ya mechi ya Leo na nadhani zimewaongezea credit kwenye game ya leo. Sasa tff na vilabu vyetu vijifunze, kuhairisha mechi na kutengeneza vipolo haisadii timu zetu kwa lolote. Ni bora Ile kanuni ya FIFA ya min 72hrs btn one game and another izingatiwe.