Ni Utopolo tu ndo wanaoamini mechi imeisha, labda niwakumbushe maajabu ya mwaka 2017.
In 2017 UCL Quarter finals
PSG 4-0 Barcelona (1st leg)
Barcelona 6-1 PSG ( 2nd leg)
Kwenye mpira lolote linawezekana.
Hivi unahisi kuna timu mbovu itafika robo michuano ya caf?Mjomba unaota. Ubora wa SIMBA upo wapi?
Tuliwaambia kuwa kuanzia Robo kwenda nusu ndio tunaanza ku judge quality ya Simba maana hizo level sio kupiga piga MAPASI yasiyo na matokeo, hizo level ni Tactical Experience na Quality ya wachezaji pamoja na Investment ya timu ndiyo kina matter
Ndio maana timu kama Ahly haikosi hizo nafasi kamwe.
Nyie ni MADOGO tu MAKINDA NYIE
Mashabiki wa Simba tumefungwa mechi ya leo lakini kwa hatua na kiwango cha Simba msimu huu tumeridhishwa kwa 100%.Maneno ya kujifariji tu
Tumetoka kishujaa kwa kuwapa Utopo viti maalum na nyinyi mpande ndege.Mmeshatoka Nyau FC LoL
Hivi unahisi kuna timu mbovu itafika robo michuano ya caf?
Ukiona timu imefika robo hiyo ni bora,kundi"A"la Simba hatua ya makundi ndo lilikuwa kundi la kifo lakini Simba alipita akiwa anaingoza kundi.
Vita 0-1 Simba mechi ya Congo.
Simba 3-1 As Vita kwa Mkapa.
Al Mareikh 0-0 Simba Sudan.
Simba 3-1 Al Mareikh kwa Mkapa.
Simba 1-0 Ala Ahly kwa Mkapa.
Ala Ahly 1-0 Simba kwa Mkapa.
msimamo mzima wa makundi yote ya hatua ya makundi Simba walikua nafasi ya pili mbele ya Esparance de tunis.
Kwa ushahidi huo bado unaamini Simba haiukua bora?,basi utakua haujui mchezo wa soka wewe!
Tumetoka kishujaa kwa kuwapa Utopo viti maalum na nyinyi mpande ndege.
Simba nguvu moja.
Hujui soka wewe.Naujua mpira vyema. The point is Mmeshatoka.
Nasubiri kuangalia Fainali hapa kati ya Ahly na Mamelodi.
Nimepoteza bundles zangu kuangalia UnderDog. Yaani Simba is too good for nothing.
Simba ina uwezo tena mzuri sana wa kiwango cha hao unaosema mmoja wapo atachukua ubingwa.Ha ha Heshima kwako, angalau wewe umekubali.
Kuna mdau hapo juu anasema Eti ni Utopolo tu ndiyo anaamini simba imetoka. Yaani Jamaa bado anajipa moyo wa kuendelea.
Ukweli ni kwamba game hizi watu hawafungani goli nne bhana. Ni goli moja au bila bila.
Simba haina Strength na Desire .... haina Strength ya ku mantain .... wao ni pasi tu siziso na tija. Naomba uangalie game
Muda huu ya Mamelodi na Ahly ... mmoja wapo hapo ndio anachukua kombe babake
Kama Simba iliefika robo ni Under dog Mazembe,As Vita ambao hawajafika robo ni Under dog?Hujui soka wewe.
Simba ni timu bora kama msimu uliopita tulitolewa hatua ya mtoano tukajipanga mwaka huu tukavuka mpaka robo,mwakani pia tutajipanga vema kufika mbali zaidi.
Simba ni bora kwa Africa kutolewa sio issue hata Mazembe,As Vita na bado kuna timu nzuri zaidi zitatolewa ndo mchezo wa soka ulivyo.
Hujui soka,nasisitiza mchezo wa mpira hujui.
Bado tuna msubiri huyu mshenzi Kaizer kwa Mkapa,iwe jua ama mvua ,afe mtu au mnyama ni lazima tumpige nne tupelekane kwenye matuta.Kwani mmeshatoka?
Kumbee,,!!Tatizo Simba hawajui kizungu. Chiefs maana yake watemi.
Bado tuna msubiri huyu mshenzi Kaizer kwa Mkapa,iwe jua ama mvua ,afe mtu au mnyama ni lazima tumpige nne tupelekane kwenye matuta.
Akuna cha Mkude wala nani,siku ya kufa nyani miti yote uteleza.Goli nne ni nyingi sana . Angalau mngekuwa Na Foward ya maana. Forward ni ile mla chewing gum na Kagera. Ni ngumu sana . Game ingekuwa poa kama mngefungwa 1 au 2 tu.
Nilipoona kile kikosi nilijua mmekwisha. Mmeenda kumuanzisha yule mlevi Mkude
Akuna cha Mkude wala nani,siku ya kufa nyani miti yote uteleza.
Simba leo kwanza wachezaji walijiamini sana alafu Kaizer awakuruhusu kabisa Simba atandaze soka lake la pasi nyingi mpaka golini na Kaizer wakipata mpira pasi tatu wapo golini.
Hakuna cha mkata umeme wala mkata solar leo ngoma ilikua ngumu kwa Simba.
Hesabu za kocha ni zilezile sema ukikuta kocha wa timu pinzani akijua kufunga mbinu zako hata ufanyaje utoboi madhee.Hesabu za kocha pia leo zime fail