Mk54
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,997
- 3,933
- Thread starter
- #21
Hv Kaiza chief wamekumbuka kumpa kipigo na yule Albino.. Maana ni Jeuri sana..
Akina Shafii Dauda watatulia sasa hvi..
Shafii Endelea kuwapekekea moto hawa mikia huko Clouds.. Mikia ni UnderDog ukweli ndio huo..
Au nasema uongo ndugu zangu..?
Unasema kweli. Tunasema siku zote mpira sio hamasa wala makelele ya MANARA. Fanyeni Investment za maana mtaona matokeo