Kwani shepu ni makalio na hips tuu...!?

Kwani shepu ni makalio na hips tuu...!?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,924
Reaction score
831,385
Nimeshuhudia mara nyingi wanaume wakigeuka na kuwaangalia wanawake wenye hips na makalio makubwa huku wakitoa udenda wa matamanio
Nimeshuhudia pia wanawake wakiwasifia wanawake wenzao wenye hips na makalio makubwa kuwa wana shepu bomba
Sura kifua mikono na miguu huwa havipewi umuhimu mkubwa kwenye kusifia shepu ya mtu
Najiuliza tuu kwani shepu ni hips na makalio tuu ?
 
Nimeshuhudia mara nyingi wanaume wakigeuka na kuwaangalia wanawake wenye hips na makalio makubwa huku wakitoa udenda wa matamanio
Nimeshuhudia pia wanawake wakiwasifia wanawake wenzao wenye hips na makalio makubwa kuwa wana shepu bomba
Sura kifua mikono na miguu huwa havipewi umuhimu mkubwa kwenye kusifia shepu ya mtu
Najiuliza tuu kwani shepu ni hips na makalio tuu ?

Hahaa jamanii. Sa kuna shepu gani mikononi? Mi navyojua mwanamke mwenye sura nzuri wanasema ni mzuri bhaasi. Na akiwa na mguu mzuri watasema anayo miguu mizuri au guu la bia etc. Na mwenye shepu anashepu tuu akiwa na sura nzuri pia watasema "ni mzuri huyo afu ana shepu". Shepu ni lile umbile na umbile lenyewe linakuwa shaped zaidi na makalio na mahips. Hii ni kwasababu hizi sehemu mbili ndio zinaleta ile figa namba nane ileeeee
 
Nimeshuhudia mara nyingi wanaume wakigeuka na kuwaangalia wanawake wenye hips na makalio makubwa huku wakitoa udenda wa matamanio
Nimeshuhudia pia wanawake wakiwasifia wanawake wenzao wenye hips na makalio makubwa kuwa wana shepu bomba
Sura kifua mikono na miguu huwa havipewi umuhimu mkubwa kwenye kusifia shepu ya mtu
Najiuliza tuu kwani shepu ni hips na makalio tuu ?

unajua kila mtu na anavyopenda...... Mm makalio makubwa naona hadi kinyaa. Kitu flat ndio mpango mzma
 
Inasemekana kuwa rubani aliyepoteza ndege ya malaysia alikuwa akishangaa hipsi na makalio ya mhudumu wa ndege...

Hata kwenye pembe 3, mwanafunzi yeyote atakimbilia kutafuta kit@ko kilipo ili aweze kusolve umbo hilo!

Jicho la mvulana liko fasta kuliko google linapoona hipsi na makalio!
 
Mwanamke nyonga,------ hata baba mkwe anayo! Hahahah...!
 
1397189532597.jpg
Inasemekana kuwa rubani aliyepoteza ndege ya malaysia alikuwa akishangaa hipsi na makalio ya mhudumu wa ndege...

Hata kwenye pembe 3, mwanafunzi yeyote atakimbilia kutafuta kit@ko kilipo ili aweze kusolve umbo hilo!

Jicho la mvulana liko fasta kuliko google linapoona hipsi na makalio!
 
Asa unakuta mwanamke kimbaumbau hata akitumbukia baharini wala hazami ma.ta.ko empty utageuka uangalie nini wakati sura ushaiona mlipopishana nae?

Hahahahaha, una dharau wewe, kwa iyo unataka anaezama?
 
Back
Top Bottom