Faida ya zao la mhogo ni chakula chenye wangu ambapo unaweza kuchemsha mhogo,kukaanga au hata kuteneza kashata. Magamba ya mhogo ukichemsha, ni chakula kizuri cha swine, matawi ya zao la mhogo ni kuni lakini vile vile ni mbegu unaweza kupanda ili baada ya miezi minne uvune mihogo mingine.Lakini pia, majani ya mhogo ni mboga nzuri sana bila kusahau kwamba ni chakula cha mbuzi na kondoo. Faida tengefu ya mhogo, hustahimili ukame na ardhi yenye rutuba kidogo. Nawashauri wana JF wenzangu wenye vishamba, limeni zao la mhogo.Ahsanteni sana