Kwani Mungu ni kitabu?

Kwani Mungu ni kitabu?

Uwesutanzania

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2019
Posts
1,602
Reaction score
1,864
Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️

Kila kitu nikiuliza kwa Masheikh na mapadri na wachungaji na hata katika forum mbalimbali mnanifungulia KITABU,

Ina maana Mungu alikosa njia zote za kujieleza katika dunia na watu wake bila ya KITABU tu?

Ndugu msomaji naomba tumia akili kidogo unaposoma bandiko langu., pia changia kwa tahadhima,

Onyo
Kama umelewa usichangie maana hautaweza nielwa.


Twende kwenye mada.

Enyi ndugu zangu wenye akili zilizoganda mnaocha fanya mambo mazuri ya dunia kwa kufuata KITABU, hilo likitabu litawapoteza,. Tambueni kuwa maisha mnaishi mara moja tu,. Mkifa ndio mmeenda,. Hamtakuja kupata *hewa, pombe, mademu wazuri, ugali wa moto, nyama choma (kitimoto), zinaa (na mishangazi, ) nk.

JE, MUNGU WAKO AMEKOSA KABISA MAWASILIANO NA WEWE MPAKA AKATUMIA KITABU PEKEE?

leo hii ukisema ufunike kitabu hakuna mahali popote unaweza ona jina la ALLAH wala YESU katika dunia mpaka utakufa.

Leo hii ukisema ufunike kitabu yaani usisome KITABU hakuna mahali popote pale utaweza ona maswala ya malaika, peponi, wala motoni.

Je, kuna uhusianao gani kati ya MUNGU wako na KITABU?

Pia Mungu allah anasema hana mshirika mimi mbona naona washirika wake ni wanne
(Shetani, KITABU, Muhammad na moto)

Mbona kama Mungu Mungu wako ni anategemea sana kitabu ili tumjue?

Au Mungu ni KITABU?
 
Mungu na Abunuwasi hawana tofauti.

Wote wana exist vitabuni tu.

Mungu= Abunuwasi.

Hekaya za Biblia na Quran= Hekaya za Abunuwasi.
Screenshot_20250419-233243_2.jpg
 
Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️

Kila kitu nikiuliza kwa Masheikh na mapadri na wachungaji na hata katika forum mbalimbali mnanifungulia KITABU,

Ina maana Mungu alikosa njia zote za kujieleza katika dunia na watu wake bila ya KITABU tu?

Ndugu msomaji naomba tumia akili kidogo unaposoma bandiko langu., pia changia kwa tahadhima,

Onyo
Kama umelewa usichangie maana hautaweza nielwa.


Twende kwenye mada.

Enyi ndugu zangu wenye akili zilizoganda mnaocha fanya mambo mazuri ya dunia kwa kufuata KITABU, hilo likitabu litawapoteza,. Tambueni kuwa maisha mnaishi mara moja tu,. Mkifa ndio mmeenda,. Hamtakuja kupata *hewa, pombe, mademu wazuri, ugali wa moto, nyama choma (kitimoto), zinaa (na mishangazi, ) nk.

JE, MUNGU WAKO AMEKOSA KABISA MAWASILIANO NA WEWE MPAKA AKATUMIA KITABU PEKEE?

leo hii ukisema ufunike kitabu hakuna mahali popote unaweza ona jina la ALLAH wala YESU katika dunia mpaka utakufa.

Leo hii ukisema ufunike kitabu yaani usisome KITABU hakuna mahali popote pale utaweza ona maswala ya malaika, peponi, wala motoni.

Je, kuna uhusianao gani kati ya MUNGU wako na KITABU?

Pia Mungu allah anasema hana mshirika mimi mbona naona washirika wake ni wanne
(Shetani, KITABU, Muhammad na moto)

Mbona kama Mungu Mungu wako ni anategemea sana kitabu ili tumjue?

Au Mungu ni KITABU?
Hata elimu siyo kitabu ila ina hifadhiwa vitabuni
 
Mungu hayuko kwenye kitabu, Mungu anakaa Moyoni kwa mtu, ukiwa na mahusiano naye utapata maelekezo kutoka kwake kwa njia ya ndoto, maono, zipo njia nyingi ambazo Mungu atawasiliana na wewe.

Kitabu ni muongozo tu utakao kuwezesha kuishi maisha matakatifu
 
Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️

Kila kitu nikiuliza kwa Masheikh na mapadri na wachungaji na hata katika forum mbalimbali mnanifungulia KITABU,

Ina maana Mungu alikosa njia zote za kujieleza katika dunia na watu wake bila ya KITABU tu?

Ndugu msomaji naomba tumia akili kidogo unaposoma bandiko langu., pia changia kwa tahadhima,

Onyo
Kama umelewa usichangie maana hautaweza nielwa.


Twende kwenye mada.

Enyi ndugu zangu wenye akili zilizoganda mnaocha fanya mambo mazuri ya dunia kwa kufuata KITABU, hilo likitabu litawapoteza,. Tambueni kuwa maisha mnaishi mara moja tu,. Mkifa ndio mmeenda,. Hamtakuja kupata *hewa, pombe, mademu wazuri, ugali wa moto, nyama choma (kitimoto), zinaa (na mishangazi, ) nk.

JE, MUNGU WAKO AMEKOSA KABISA MAWASILIANO NA WEWE MPAKA AKATUMIA KITABU PEKEE?

leo hii ukisema ufunike kitabu hakuna mahali popote unaweza ona jina la ALLAH wala YESU katika dunia mpaka utakufa.

Leo hii ukisema ufunike kitabu yaani usisome KITABU hakuna mahali popote pale utaweza ona maswala ya malaika, peponi, wala motoni.

Je, kuna uhusianao gani kati ya MUNGU wako na KITABU?

Pia Mungu allah anasema hana mshirika mimi mbona naona washirika wake ni wanne
(Shetani, KITABU, Muhammad na moto)

Mbona kama Mungu Mungu wako ni anategemea sana kitabu ili tumjue?

Au Mungu ni KITABU?
Unatambua kuwa kuna njia million 10 zaidi ambazo mungu anazungumza na wewe na wewe hausikii.
Je wanyama wanaongeaje?
Je milima inaongeaje?
Mtoto anapozaliwa anaongeaje

Mungu HAONGEI ila ana WASILIANA, hatumii lugha bali anawasiliana kwa ISHARA na MATENDO. ishara na matendo ni mfumo wa mawasiliano unaoeleweka kwa viumbe vyote vinavyoishi na visivyoishi hai na mfu.

Mf wa mawasiliano. Kila siku unavuka barabara ila likawekwa bango karibu na unakovukia hii ni njia ya mungu kukwambia safari yako ya kuvuka nje hovyo si salama ns kifo kiko njiani pitia kwenye zebra

Mf2. Unawaza kufanya biashara ya nguo unawaza nguo au viatu hujamwambia mtu ila anatokea mtu anakuletea habari inayohusiana na viatu na anakuelekeza chimbo na haujamwambia mpango wako hyo ni ishara na alama ya mungu kuongea nawe
Au mfano unawaza kufanya mama ntilie anatokea mtu anakupa zawadi ya sahani manake ni mungu anakueleza ameliafiki wazo lako la kuuza chakula

Njia nyingine ni kupitia majanga na magonjwa.
mf. Sasa hv 80 ya watu wa mjini wanakula vyakula vya GMO na madawa ya maabara, sasa wana vitambi wanawake kwa wanaume, visukari na uzito,shepu za ajabu na mionekano ya wanaume kwa wanawake na wanawake kwa wanaume n.k hii ni mungu anaeleza kurudi kwenye asili ambapo hakukuwa na shida hizi. Ishara na alama

Kupitia maneno ya watu, unaiba unakaba, unadhurumu kama ccm kila siku watu wanakusema na kukutabiria kifo hii ni mawasiliano ya mungu kwako kuwa njia yako ni mbaya na hatima yako ni kifo duniani na ubaya milele

Majanga ya kiasili
Mf moto wa marekani ule, earthquake, tsunami n.k

Sauti za ndege na wanyama

Aina ya wadudu unaokutana nao nyumbani kwako je ni panya na mende na nzi au ni ndege, nyuki na njiwa

Mpaka hapa najua nmefungua uelewa wako kidogo, sasa google uongeze maarifa ujazlilizie 90% iliyobaki nmekupa 10% ya pakuanzia

Tatizo ni kuwa wazee wa zamani walikuwa wanajua lugha na wanajua njia za mawasiliano kwahyo walipokuwa wanaona ishara fulani wanajua mungu kakasilika na kitu fulam na wanatoa sadaka, piga ibara za maombolezo za uko au kabila na wanasamehewa jangs linaondoka na hata mvua wanaziomba zinakuja ila saiv tunajua lugha ambazo ni kiswahili, english,n.k
Mungu hatumii lugha anatumia mawasiliano lugha ni tawi dogo ndani ya lugha ambapo pia hutumia lugha hii
Kumbuka alizungumza na musa kupitia mti usioungua ila una moto, wingu, punda aliongea kwa baltazari baada ya kuona malaika mwenye upanga mbele, n.k

Vitambu vya dini vina hekima sio maarifa. Kwahyo uweze kuzijua unahitaji usome maarifa mengi nje ya vitabu hvyo kisha mwisho uje kukisoma chenyewe.

Sawa watu wanafundishwa kosa la eden ni kula tunda, wanaenda mbali zaidi kutajiwa hadi ni apple la kizungu. Lkn ukwel wa mambo tunda lilimaanisha kufungua uwezo wa kujua mema na mabaya (awakening) na nyoka ni alama sio aliyehusika bali kiebrania nyoka ni kiumbe mwenye hekima na busara kubwa na aliyeingia kushawishi ni shetan alivaa mwili wa malaika (alijibadiri kuwa kama malaika wa nuru) na kutokea mbele ya eve na kumdanga na eve kuamini ni malaika wa mungu aliyemtokea eden na aachagua kufunguliwa akili na akafunguliwa. Inaenda mbali kuamini tendo lile lililosemwa kula tunda lilimaaisha kukubali DNA kuwa modified na kuwekewa hyo trait (property) ya mema na mabaya

Vitabu vya dini vimeandika ishara na alama kwa kutumia lugha. Mkuu usiende kichwa kichwa zile ni hekima sio stories
 
Back
Top Bottom