Kwani Mara, kura waliipa Upinzani? Kwa nini hatutembelewi na Rais,Makamu au Waziri Mkuu?

G4rpolitics

JF-Expert Member
Jul 29, 2015
4,369
5,248
Wana bodi tunaenda miaka miwili sasa ya utawala wa Rais Magufuli, lkn hadi sasa huu mkoa wa Mara, haujatembelewa na kiongozi yeyote yule mkuu, wakija utasikia wanaishia mwanza, shinyanga Geita au Simiyu. Siyo kwamba ni kitu kibaya ila na sisi tunataka mmoja wa hawa viongozi wakuu atutembelee. Tuliwapa kura, na hata kma Maranina baadhi ya wabunge wengi wa upinzani, muda wa siasa ulishapita na viongozi wetu ni hao. Waje nasi watutembelee kma mikoa mingine.
 
Wasije tu acha wachape kazi maisha yanaendelea kwani hayawezi kusimama kwa kutokuja kwao Mara.
 
Geita,Shinyanga,Simiyu na Mwanza ni mikoa ambayo wakazi wake wana asili moja na mheshimiwa
 
Wana bodi tunaenda miaka miwili sasa ya utawala wa Rais Magufuli, lkn hadi sasa huu mkoa wa Mara, haujatembelewa na kiongozi yeyote yule mkuu, wakija utasikia wanaishia mwanza, shinyanga Geita au Simiyu. Siyo kwamba ni kitu kibaya ila na sisi tunataka mmoja wa hawa viongozi wakuu atutembelee. Tuliwapa kura, na hata kma Maranina baadhi ya wabunge wengi wa upinzani, muda wa siasa ulishapita na viongozi wetu ni hao. Waje nasi watutembelee kma mikoa mingine.
Nchi inaendeshwa kiukabila uliochanganyikana na vilaza
 
Back
Top Bottom