kaitamarogo
JF-Expert Member
- May 23, 2016
- 461
- 493
Ahsante mwanafa kuwaumbua wadada wa mizinga hujamaliza kumtongoza ashalist matatizo lukuki unayopaswa kumtatulia huku akiona papuchi kama defence mechanism kwake. Hii awamu wasubiri kila hela ipo kwenye bajeti.