Kwani ina tv ndani?

kaitamarogo

JF-Expert Member
May 23, 2016
461
493
Ahsante mwanafa kuwaumbua wadada wa mizinga hujamaliza kumtongoza ashalist matatizo lukuki unayopaswa kumtatulia huku akiona papuchi kama defence mechanism kwake. Hii awamu wasubiri kila hela ipo kwenye bajeti.
 
Back
Top Bottom