Kwasasa ananguvu kubwa bado hivyo haiwezekani mkuu🤣,Marekani anawekea vikwazo kila mtu, kila taasisi na kila nchi. Sasa hivi imepandisha ushuru kwa nchi. Dunia inashindwa nn kuiwekea vikwazo Marekani? Nini kitatokea kama mataifa yataungana dhidi marekani kivikwazo vya uchumi na kutembeleana?
Marekani anawekea vikwazo kila mtu, kila taasisi na kila nchi. Sasa hivi imepandisha ushuru kwa nchi. Dunia inashindwa nn kuiwekea vikwazo Marekani? Nini kitatokea kama mataifa yataungana dhidi marekani kivikwazo vya uchumi na kutembeleana?
Akikutekenya kwapani wewe mtekenye kiunoni. Dunia yajifunze kutumia bidhaa mbadala hata kama ni dhaifu kidogo kuliko za marekani. Hii inaweza kurekebisha wizania na ulali.Mzarishajo prominent kabisa wa mahindi na vyakula vingine lundo,
Mzarishaji wa mbao na other prominent building materials rundo.
Mzarishaji wa some prominent war equipments,
Mmiliki wa makumpuni makubwa kabisa ya mafuta (though yapo kwenye nchi za kigeni )
Yani .... Ukiskia Israel ndo think tank upande wa innovation bas muisrael yupo kiganjan kwa mmarekan.
Kumtenga unaweza Ila lazima uwe ujasiri Sana kufanya hivyo.
Akikutekenya kwapani wewe mtekenye kiunoni. Dunia yajifunze kutumia bidhaa mbadala hata kama ni dhaifu kidogo kuliko za marekani. Hii inaweza kurekebisha wizania na ulali.
ivi ww apo unaweza muwekea vikwazo bharesa au MO au samia?? ....tafakari chukua hatua.......iyo inaitwa impossible event.Marekani anawekea vikwazo kila mtu, kila taasisi na kila nchi. Sasa hivi imepandisha ushuru kwa nchi. Dunia inashindwa nn kuiwekea vikwazo Marekani? Nini kitatokea kama mataifa yataungana dhidi marekani kivikwazo vya uchumi na kutembeleana?
Unataka kusema Marekani hawqhitaji watu wengine kwq lolote ila watu wwngine wanaihitaji marekani kwa kila kitu?ivi ww apo unaweza muwekea vikwazo bharesa au MO au samia?? ....tafakari chukua hatua.......iyo inaitwa impossible event.
Ni sawa na kusema kwani tukiwagomea Tanesco kununua umeme wao tukatumia generator na tochi zetu watatushinda?Marekani anawekea vikwazo kila mtu, kila taasisi na kila nchi. Sasa hivi imepandisha ushuru kwa nchi. Dunia inashindwa nn kuiwekea vikwazo Marekani? Nini kitatokea kama mataifa yataungana dhidi marekani kivikwazo vya uchumi na kutembeleana?
jibu kwanza swali langu unaweza kumuwekea vikwazo Bakhresa??Unataka kusema Marekani hawqhitaji watu wengine kwq lolote ila watu wwngine wanaihitaji marekani kwa kila kitu?
Mchukue JK mpite kila nchi tuungane against US itakuwa vyema sanaaa......natanguliza shukraniiMarekani anawekea vikwazo kila mtu, kila taasisi na kila nchi. Sasa hivi imepandisha ushuru kwa nchi. Dunia inashindwa nn kuiwekea vikwazo Marekani? Nini kitatokea kama mataifa yataungana dhidi marekani kivikwazo vya uchumi na kutembeleana?