Kwan TBC si local channel?

Kwan TBC si local channel?

Lugeye

JF-Expert Member
Joined
Apr 18, 2011
Posts
1,679
Reaction score
2,917
Wanabodi baada ya kuzuka utata kwenye hivi vingamuzi kuhusu FTA tumeona channel nyingi za local zimeondolewa kwenye Azam,Zuku nk lkn hili li Tbc lipo halijaondolewa kuna exempt gani inayoifanya iwepo?Azam wameondoa zote kasoro TBC
 
mimi sijaelewa kwahiyo hizo huduma nyingine tutazipata vipi yaani kama mtu anatumia dstv hizo channel nyingine za local zinapatikana vipi au mimi sijaelewa.
 
TBC is the primary source of information for the majority of us
 
Tbc ni channel ya taifa na unailipia kodi, ni haki yako kuiangalia
 
mimi sijaelewa kwahiyo hizo huduma nyingine tutazipata vipi yaani kama mtu anatumia dstv hizo channel nyingine za local zinapatikana vipi au mimi sijaelewa.
Tulia uangalie mjadala unavyoendelea utaelewa tu
 
Back
Top Bottom