Kwamfano

Mapolomoko

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2013
Posts
1,751
Reaction score
422
umechinja beberu la mbuzi ukaamua kuchoma pumbu. Mbwa akazipitia watotowako wakaanza kukwambia baba Mbwa kachukua pumbuzako, mara wanaanza kumfukuza huku wakipiga kelele ludisha pumbu za baba. je, wewe kama baba utawakataza kumfukuza au utauchuna?
 
Mh mh Napitaa tuuu

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Hahahahahaha duuh nimekubamba

Sent from my BlackBerry 9700using Jamie's
 
Mi sikubali,lazima watoto wamkimbize mbwa hadi wayapate mapumbu yangu! chezea utamu wa mapumbu weye!
 
Lazima kieleweke.
Mbwa lazima aseme ilikuwaje hakuona nyama nyingine akaona mapumbu tu.
Watoto wakifanikiwa kuyarudisha nawapa *hongera kwa kunirudishia mapumbu yangu*
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…