kovai tamil taiga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2013
- 1,048
- 1,428
Yaani Zesco wapate mipira ya kona 6,afu Yanga no corner kick...!!! Sielewi
Ni jambo la kawaida ktk soka mkuu, kuna mwaka sikumbuki vizuri Manchester United dhidi ya Barca fainali ya UEFA. Man U chini ya mzee Ferguson nao walikosa hata kona moja, walikula 3-0 magoli ya Barca yalifungwa na David Villa, Pedro na Messi kama sikosei.Yaani Zesco wapate mipira ya kona 6,afu Yanga no corner kick...!!! Sielewi
Nakubaliana na wewe sometimes mpira wa miguu ni 'mateso'..kinachochanganya hapa huyu mtu aliyekudhibiti kwako ukashindwa kupata hata kona moja,sasa uende kwake upate matokeo.Ni jambo la kawaida ktk soka mkuu, kuna mwaka sikumbuki vizuri Manchester United dhidi ya Barca fainali ya UEFA. Man U chini ya mzee Ferguson nao walikosa hata kona moja, walikula 3-0 magoli ya Barca yalifungwa na David Villa, Pedro na Messi kama sikosei.
Mzee Ferguson kuna muda mpaka alikuwa anatetemeka kama simu iko ktk vibration.
Tuwape muda mkuu 😁.Nakubaliana na wewe sometimes mpira wa miguu ni 'mateso'..kinachochanganya hapa huyu mtu aliyekudhibiti kwako ukashindwa kupata hata kona moja,sasa uende kwake upate matokeo.
Mkuu leo Chura alikuwa ugenini kwani hukuona mpira aliochezewa?Yaani Zesco wapate mipira ya kona 6,afu Yanga no corner kick...!!! Sielewi
Dalili hapa Kombe la shirikisho ndilo linalotuhusu huku CCL tumepotea njia..!Mkuu leo Chura alikuwa ugenini kwani hukuona mpira aliochezewa?
Sasa subiri waje kwa mkapa mapema tu tunamaliza kazi
Nyuma mbele daima mwiko
Balinya ,Molinga....tuwape mudaHuna striking force kona utapataje....yanga hawana mshambuliaji sijajua kwann hawakusajili hata internal Tanzanian player wa kushambulia mmoja.
Balinya ,Molinga....tuwape muda
Nakubaliana na wewe sometimes mpira wa miguu ni 'mateso'..kinachochanganya hapa huyu mtu aliyekudhibiti kwako ukashindwa kupata hata kona moja,sasa uende kwake upate matokeo.
Nasikia Yanga kabebwa leo...!!?
Mpira wa sasa haupo hivyo mkuu, kama assumption yako ingekuwa sawa basi Simba angemfunga nyingi UD Songo. Halafu mpira ulivyo wa ajabu jana UD Songo kachezea kwa Platinum FC ya Zimbabwe.Nakubaliana na wewe sometimes mpira wa miguu ni 'mateso'..kinachochanganya hapa huyu mtu aliyekudhibiti kwako ukashindwa kupata hata kona moja,sasa uende kwake upate matokeo.
Ilikuwa 2011. Ilikuwa fainali moja matata sana.Ni jambo la kawaida ktk soka mkuu, kuna mwaka sikumbuki vizuri Manchester United dhidi ya Barca fainali ya UEFA. Man U chini ya mzee Ferguson nao walikosa hata kona moja, walikula 3-0 magoli ya Barca yalifungwa na David Villa, Pedro na Messi kama sikosei.
Mzee Ferguson kuna muda mpaka alikuwa anatetemeka kama simu iko ktk vibration.
Kwa kile kilichojiri pale kwa mkapa kupita kwetu kwenda makundi CCL ni miujiza na kudura za maulana tu...! Hata kama mpira unadunda ndo kona zote 6 zidundie kwetu?Mpira wa sasa haupo hivyo mkuu, kama assumption yako ingekuwa sawa basi Simba angemfunga nyingi UD Songo. Halafu mpira ulivyo wa ajabu jana UD Songo kachezea kwa Platinum FC ya Zimbabwe.