Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,936
- 4,347
Nimepiga simu huduma ya wateja kwenye makampuni mbalimbali hapa Tanzania. Ila niseme tu ukweli DSTV Tanzania kwa customer care wanaongoza. Yaani ukiwatafuta muda wowote wao wanapatikana. Sio makampuni mengine simu za customer care hazipatikani.
Kampuni nyingine baada ya mida ya kazi na upatikanaji wao ndo umeisha. Kwakweli DSTV mmenifurahisha sana!
Kampuni nyingine baada ya mida ya kazi na upatikanaji wao ndo umeisha. Kwakweli DSTV mmenifurahisha sana!