Kwako Rais Magufuli

Kwako Rais Magufuli

GJHariohay

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2013
Posts
1,041
Reaction score
1,161
Magufuli Tumekukosea Nini??

Nayaandika haya kwa machungu makubwa sana.
Ulituomba kura, uliongea kwa uchungu sana ukidai unahitaji kuwasaidia Watanzani, ulilia hadi machozi majukwaani, uliishiwa mpaka sauti kwa kueleza machungu yako uliyokuwa ukiyapata kwa sababu ya umaskini, uduni wa maisha, Ajira kwa Vijana, Elimu kwa mtoto wa Maskini, mateso ya wamachinga, Mama ntilie , wakulima, wafugaji, wavuvi , wafanyabiashara n.k.
Hakika tuliona neema kwako kipindi kile, tukajua Israeli sasa ameshuka Tanzania.

Mh Magufuli nayaandika haya kwa machungu mno, maisha yamekuwa mabaya sana mtaani, vijana wanazagaa tu, kila mtu amebaki kutafuta kifungua kinywa na ili mradi tumbo lishibe, wasomi wanalia kila kona ya nchi, vijana wengi wamekondeana, hawana afya, watu wana stress kila mahali, sio watumishi wa Mungu, sio wafanyabiashara, sio wanafunzi, sio wafugaji, sio wakulima, sio machinga wala mama Ntilie. Vijana wanaonekana wazee kabla ya umri, stress zimejaa kwa kila famili nchi nzima, Tatizo ni nini , tumekosea wapi Ndugu yetu Magufuli,,,,,,,

Matukio ya mauaji, utekaji, ujambazi, majanga yenye sura ya kukomoa yamekuwa kawaida tena maskioni mwa Watanzani. Roho ya mtu kutolewa kwa sasa imekuwa kawaida na kutolewa majibu marahisi tu "Watu wasiojulikana"

Sio viongozi , sio raia, sio wasanii, sio vijana wala wazee wanapotezwa kila uchwao, ni wapi Magufuli tulipokosea??

Maisha yameturudisha miaka 70 nyuma enzi za mkoloni ambapo Mtu mweusi anachukuliwa kama sio Binadamu, hana haki yeyote katika maisha yake. Hakika vijana ambao tuna maono ya kuwa na maisha yetu binafsi kwa ajili ya baadae tayari tumepoteza direction ya maisha kabisa, Vijana tunaogopa hata kuoa, umri unaenda, sijui tutakuwa Taifa la namna gani.

Magufuli umeyaharibu maisha, vijana wengi tumesoma lakini hatuna mchango wowote kwa Taifa letu, tumekaa mitaani, tunaomba Mungu usiku na mchana Miujiza itokee tule tushibe tulale, matumaini ya wazazi wetu kwetu hayapo tena. Kweli sijui tumekosea wapi kwako Mzee wetu.

Tunaishi kwa maisha ya wasiwasi, hakuna mwenye uhakika wa kesho yake, sijui kwanini umeshindwa kuelewa hii hali mpaka sasa, Najua kiyoyozi , misafara ya kifahari ya magari zaidi ya 200 ambayo yamezingirwa kwa mitutu ya Bunduki pengine yanakufanya usielewe nini kinaendelea nje, tunaomba uelewe tayari nchi haina mwelekeo wenye matumaini yeyote. Hakuna sera rafiki inayoonekana mpaka sasa, najua unaweza kupata huu ujumbe lakini bado ukasema kwa lugha yako ile ya kiyunani, " FANYA KAZI".

Magufuli tunaomba uelewe hakuna binadamu mkamilifua, wote tumekuja kwa njia moja na kwa njia moja tutaondoka, haijalishi mwingine alikuwa Rais, waziri n.k , elewa manung'uniko haya hayataishia kwenye kizazi hiki tu, Vizazi zaidi ya 3 vitanung'unika juu yako hata ukiwa kaburini, Watoto watalia, wataomboleza kwa ugumu wa maisha wanaopata wengine hawatosoma na kufikia ndoto zao sawa sawa, wengi watasema. "maisha yalikuwa magumu sana ningesoma vizuri mimi"

Ujumbe huu nimeuandika nikiwa na machungu sana, Taifa linapita katika mapito magumu mno, hata uhuru wa kuabudu unanyimwa na utawala wako, Yalifanyika maombi mengi sana kukuombea, viwanjani, makanisani, misikitini mpk chini ya miti. Lakini kumuombea mgonjwa kwa ibada na imani imekuwa shida leo kisa ni wa itikadi tofauti, Naomba Israeli akutembelee katika hili na anene kwa njia zote nawe.

Magufuli kumbuka hata wewe hauna hati miliki yeyote ya Kuishi duniani milele, jambo hili limekuwa chukizo mbele za Mungu wetu, nakuomba sana Moyo wako usijae kiburi wala ulimi wako usiwe mwepesi wa kunena, matendo yako mengi yatalipwa hapa Duniani, Mbinguni ni sehemu ya kukamilisha tu matukio yako ya hapa.

Magufuli tambua kwamba unyanyasaji unaotufanyia Mungu atakunyanyasa sawa sawa na kiasi cha kila chozi linalodondoka hapa.

Naendelea Kumuuliza Mungu juu ya Utawala huu, utawala wenye kiburi, majivuno, ubabe na kila aina kwa raia wake.

Natamani nione nchi iliyojaa Upendo, uvumilivu, Heshima, Ubinadamu, Haki, Utawala wa sheria, Uchumi imara na Utajiri wa nafsi, mali na Roho. Nchi ya kumcha Mungu.....n.k

Naomba sana Ujumbe huu ukufikie kwa muda uliopangwa na Mungu.

Hakuna sababu ya kuniita mchochezi, nimeysema yaliyoujaza moyo wangu, sitaki kuona naendelea kusononeka, natamani ningepata hata nafasi ya kukueleza haya lakini nimeona hata huku huwa unapitia sana, kama si wewe basi wasaidizi wako.

Ahsante

Niite ; GOODLUCK
 
Magufuli Tumekukosea Nini??

Nayaandika haya kwa machungu makubwa sana.
Ulituomba kura, uliongea kwa uchungu sana ukidai unahitaji kuwasaidia Watanzani, ulilia hadi machozi majukwaani, uliishiwa mpaka sauti kwa kueleza machungu yako uliyokuwa ukiyapata kwa sababu ya umaskini, uduni wa maisha, Ajira kwa Vijana, Elimu kwa mtoto wa Maskini, mateso ya wamachinga, Mama ntilie , wakulima, wafugaji, wavuvi , wafanyabiashara n.k.
Hakika tuliona neema kwako kipindi kile, tukajua Israeli sasa ameshuka Tanzania.

Mh Magufuli nayaandika haya kwa machungu mno, maisha yamekuwa mabaya sana mtaani, vijana wanazagaa tu, kila mtu amebaki kutafuta kifungua kinywa na ili mradi tumbo lishibe, wasomi wanalia kila kona ya nchi, vijana wengi wamekondeana, hawana afya, watu wana stress kila mahali, sio watumishi wa Mungu, sio wafanyabiashara, sio wanafunzi, sio wafugaji, sio wakulima, sio machinga wala mama Ntilie. Vijana wanaonekana wazee kabla ya umri, stress zimejaa kwa kila famili nchi nzima, Tatizo ni nini , tumekosea wapi Ndugu yetu Magufuli,,,,,,,

Matukio ya mauaji, utekaji, ujambazi, majanga yenye sura ya kukomoa yamekuwa kawaida tena maskioni mwa Watanzani. Roho ya mtu kutolewa kwa sasa imekuwa kawaida na kutolewa majibu marahisi tu "Watu wasiojulikana"

Sio viongozi , sio raia, sio wasanii, sio vijana wala wazee wanapotezwa kila uchwao, ni wapi Magufuli tulipokosea??

Maisha yameturudisha miaka 70 nyuma enzi za mkoloni ambapo Mtu mweusi anachukuliwa kama sio Binadamu, hana haki yeyote katika maisha yake. Hakika vijana ambao tuna maono ya kuwa na maisha yetu binafsi kwa ajili ya baadae tayari tumepoteza direction ya maisha kabisa, Vijana tunaogopa hata kuoa, umri unaenda, sijui tutakuwa Taifa la namna gani.

Magufuli umeyaharibu maisha, vijana wengi tumesoma lakini hatuna mchango wowote kwa Taifa letu, tumekaa mitaani, tunaomba Mungu usiku na mchana Miujiza itokee tule tushibe tulale, matumaini ya wazazi wetu kwetu hayapo tena. Kweli sijui tumekosea wapi kwako Mzee wetu.

Tunaishi kwa maisha ya wasiwasi, hakuna mwenye uhakika wa kesho yake, sijui kwanini umeshindwa kuelewa hii hali mpaka sasa, Najua kiyoyozi , misafara ya kifahari ya magari zaidi ya 200 ambayo yamezingirwa kwa mitutu ya Bunduki pengine yanakufanya usielewe nini kinaendelea nje, tunaomba uelewe tayari nchi haina mwelekeo wenye matumaini yeyote. Hakuna sera rafiki inayoonekana mpaka sasa, najua unaweza kupata huu ujumbe lakini bado ukasema kwa lugha yako ile ya kiyunani, " FANYA KAZI".

Magufuli tunaomba uelewe hakuna binadamu mkamilifua, wote tumekuja kwa njia moja na kwa njia moja tutaondoka, haijalishi mwingine alikuwa Rais, waziri n.k , elewa manung'uniko haya hayataishia kwenye kizazi hiki tu, Vizazi zaidi ya 3 vitanung'unika juu yako hata ukiwa kaburini, Watoto watalia, wataomboleza kwa ugumu wa maisha wanaopata wengine hawatosoma na kufikia ndoto zao sawa sawa, wengi watasema. "maisha yalikuwa magumu sana ningesoma vizuri mimi"

Ujumbe huu nimeuandika nikiwa na machungu sana, Taifa linapita katika mapito magumu mno, hata uhuru wa kuabudu unanyimwa na utawala wako, Yalifanyika maombi mengi sana kukuombea, viwanjani, makanisani, misikitini mpk chini ya miti. Lakini kumuombea mgonjwa kwa ibada na imani imekuwa shida leo kisa ni wa itikadi tofauti, Naomba Israeli akutembelee katika hili na anene kwa njia zote nawe.
Magufuli kumbuka hata wewe hauna hati miliki yeyote ya Kuishi duniani milele, jambo hili limekuwa chukizo mbele za Mungu wetu, nakuomba sana Moyo wako usijae kiburi wala ulimi wako usiwe mwepesi wa kunena, matendo yako mengi yatalipwa hapa Duniani, Mbinguni ni sehemu ya kukamilisha tu matukio yako ya hapa.

Magufuli tambua kwamba unyanyasaji unaotufanyia Mungu atakunyanyasa sawa sawa na kiasi cha kila chozi linalodondoka hapa.

Naendelea Kumuuliza Mungu juu ya Utawala huu, utawala wenye kiburi, majivuno, ubabe na kila aina ya uuaji kwa raia wake.

Natamani nione nchi iliyojaa Upendo, uvumilivu, Heshima, Ubinadamu, Haki, Utawala wa sheria, Uchumi imara na Utajiri wa nafsi, mali na Roho. Nchi ya kumcha Mungu.....n.k

Naomba sana Ujumbe huu ukufikie kwa muda uliopangwa na Mungu.

Hakuna sababu ya kuniita mchochezi, nimeysema yaliyoujaza moyo wangu, sitaki kuona naendelea kusononeka, natamani ningepata hata nafasi ya kukueleza haya lakini nimeona hata huku huwa unapitia sana, kama si wewe basi wasaidizi wako.

Ahsante

Niite ; GOODLUCK
Wenzako wamehamia kenya....wewe umebaki TZ kwa nin?
 
L
Magufuli Tumekukosea Nini??

Nayaandika haya kwa machungu makubwa sana.
Ulituomba kura, uliongea kwa uchungu sana ukidai unahitaji kuwasaidia Watanzani, ulilia hadi machozi majukwaani, uliishiwa mpaka sauti kwa kueleza machungu yako uliyokuwa ukiyapata kwa sababu ya umaskini, uduni wa maisha, Ajira kwa Vijana, Elimu kwa mtoto wa Maskini, mateso ya wamachinga, Mama ntilie , wakulima, wafugaji, wavuvi , wafanyabiashara n.k.
Hakika tuliona neema kwako kipindi kile, tukajua Israeli sasa ameshuka Tanzania.

Mh Magufuli nayaandika haya kwa machungu mno, maisha yamekuwa mabaya sana mtaani, vijana wanazagaa tu, kila mtu amebaki kutafuta kifungua kinywa na ili mradi tumbo lishibe, wasomi wanalia kila kona ya nchi, vijana wengi wamekondeana, hawana afya, watu wana stress kila mahali, sio watumishi wa Mungu, sio wafanyabiashara, sio wanafunzi, sio wafugaji, sio wakulima, sio machinga wala mama Ntilie. Vijana wanaonekana wazee kabla ya umri, stress zimejaa kwa kila famili nchi nzima, Tatizo ni nini , tumekosea wapi Ndugu yetu Magufuli,,,,,,,

Matukio ya mauaji, utekaji, ujambazi, majanga yenye sura ya kukomoa yamekuwa kawaida tena maskioni mwa Watanzani. Roho ya mtu kutolewa kwa sasa imekuwa kawaida na kutolewa majibu marahisi tu "Watu wasiojulikana"

Sio viongozi , sio raia, sio wasanii, sio vijana wala wazee wanapotezwa kila uchwao, ni wapi Magufuli tulipokosea??

Maisha yameturudisha miaka 70 nyuma enzi za mkoloni ambapo Mtu mweusi anachukuliwa kama sio Binadamu, hana haki yeyote katika maisha yake. Hakika vijana ambao tuna maono ya kuwa na maisha yetu binafsi kwa ajili ya baadae tayari tumepoteza direction ya maisha kabisa, Vijana tunaogopa hata kuoa, umri unaenda, sijui tutakuwa Taifa la namna gani.

Magufuli umeyaharibu maisha, vijana wengi tumesoma lakini hatuna mchango wowote kwa Taifa letu, tumekaa mitaani, tunaomba Mungu usiku na mchana Miujiza itokee tule tushibe tulale, matumaini ya wazazi wetu kwetu hayapo tena. Kweli sijui tumekosea wapi kwako Mzee wetu.

Tunaishi kwa maisha ya wasiwasi, hakuna mwenye uhakika wa kesho yake, sijui kwanini umeshindwa kuelewa hii hali mpaka sasa, Najua kiyoyozi , misafara ya kifahari ya magari zaidi ya 200 ambayo yamezingirwa kwa mitutu ya Bunduki pengine yanakufanya usielewe nini kinaendelea nje, tunaomba uelewe tayari nchi haina mwelekeo wenye matumaini yeyote. Hakuna sera rafiki inayoonekana mpaka sasa, najua unaweza kupata huu ujumbe lakini bado ukasema kwa lugha yako ile ya kiyunani, " FANYA KAZI".

Magufuli tunaomba uelewe hakuna binadamu mkamilifua, wote tumekuja kwa njia moja na kwa njia moja tutaondoka, haijalishi mwingine alikuwa Rais, waziri n.k , elewa manung'uniko haya hayataishia kwenye kizazi hiki tu, Vizazi zaidi ya 3 vitanung'unika juu yako hata ukiwa kaburini, Watoto watalia, wataomboleza kwa ugumu wa maisha wanaopata wengine hawatosoma na kufikia ndoto zao sawa sawa, wengi watasema. "maisha yalikuwa magumu sana ningesoma vizuri mimi"

Ujumbe huu nimeuandika nikiwa na machungu sana, Taifa linapita katika mapito magumu mno, hata uhuru wa kuabudu unanyimwa na utawala wako, Yalifanyika maombi mengi sana kukuombea, viwanjani, makanisani, misikitini mpk chini ya miti. Lakini kumuombea mgonjwa kwa ibada na imani imekuwa shida leo kisa ni wa itikadi tofauti, Naomba Israeli akutembelee katika hili na anene kwa njia zote nawe.
Magufuli kumbuka hata wewe hauna hati miliki yeyote ya Kuishi duniani milele, jambo hili limekuwa chukizo mbele za Mungu wetu, nakuomba sana Moyo wako usijae kiburi wala ulimi wako usiwe mwepesi wa kunena, matendo yako mengi yatalipwa hapa Duniani, Mbinguni ni sehemu ya kukamilisha tu matukio yako ya hapa.

Magufuli tambua kwamba unyanyasaji unaotufanyia Mungu atakunyanyasa sawa sawa na kiasi cha kila chozi linalodondoka hapa.

Naendelea Kumuuliza Mungu juu ya Utawala huu, utawala wenye kiburi, majivuno, ubabe na kila aina ya uuaji kwa raia wake.

Natamani nione nchi iliyojaa Upendo, uvumilivu, Heshima, Ubinadamu, Haki, Utawala wa sheria, Uchumi imara na Utajiri wa nafsi, mali na Roho. Nchi ya kumcha Mungu.....n.k

Naomba sana Ujumbe huu ukufikie kwa muda uliopangwa na Mungu.

Hakuna sababu ya kuniita mchochezi, nimeysema yaliyoujaza moyo wangu, sitaki kuona naendelea kusononeka, natamani ningepata hata nafasi ya kukueleza haya lakini nimeona hata huku huwa unapitia sana, kama si wewe basi wasaidizi wako.

Ahsante

Niite ; GOODLUCK
eo mchungaji Fernandes agape kamsifia sana magufuli mpaka sijaelewa kwanini na mauaji haya yanayopangwa dhidi ya wanavyama mbadala
 
Paka sasa sioni chochote alicho Fanya magufuli zaidi ya kununua ndege Ndege yenyewe wanapanda wenyewe. muda unasonga Viwanda vikwapi Mr Magu mbona tuna fanyana watoto. Lakini pouwa tutakutana 2020
 
Badala ya kutumia ubinadamu akaenda kuwafukuza watu kazi. Akumbuke anzia mei mosi ndiyo hii nchi imeanza hii hali ya hewa chafu. Yale machozi ya wale aliyowaita vilaza bado yapo kifuani. Wengine wamekufa wengine wemepatwa na magonjwa ambayohawakutarajia. Sijui atakwenda kwajibu hawa watu nini mbele ya huyu mungu.
 
Magufuli Tumekukosea Nini??

Nayaandika haya kwa machungu makubwa sana.
Ulituomba kura, uliongea kwa uchungu sana ukidai unahitaji kuwasaidia Watanzani, ulilia hadi machozi majukwaani, uliishiwa mpaka sauti kwa kueleza machungu yako uliyokuwa ukiyapata kwa sababu ya umaskini, uduni wa maisha, Ajira kwa Vijana, Elimu kwa mtoto wa Maskini, mateso ya wamachinga, Mama ntilie , wakulima, wafugaji, wavuvi , wafanyabiashara n.k.
Hakika tuliona neema kwako kipindi kile, tukajua Israeli sasa ameshuka Tanzania.

Mh Magufuli nayaandika haya kwa machungu mno, maisha yamekuwa mabaya sana mtaani, vijana wanazagaa tu, kila mtu amebaki kutafuta kifungua kinywa na ili mradi tumbo lishibe, wasomi wanalia kila kona ya nchi, vijana wengi wamekondeana, hawana afya, watu wana stress kila mahali, sio watumishi wa Mungu, sio wafanyabiashara, sio wanafunzi, sio wafugaji, sio wakulima, sio machinga wala mama Ntilie. Vijana wanaonekana wazee kabla ya umri, stress zimejaa kwa kila famili nchi nzima, Tatizo ni nini , tumekosea wapi Ndugu yetu Magufuli,,,,,,,

Matukio ya mauaji, utekaji, ujambazi, majanga yenye sura ya kukomoa yamekuwa kawaida tena maskioni mwa Watanzani. Roho ya mtu kutolewa kwa sasa imekuwa kawaida na kutolewa majibu marahisi tu "Watu wasiojulikana"

Sio viongozi , sio raia, sio wasanii, sio vijana wala wazee wanapotezwa kila uchwao, ni wapi Magufuli tulipokosea??

Maisha yameturudisha miaka 70 nyuma enzi za mkoloni ambapo Mtu mweusi anachukuliwa kama sio Binadamu, hana haki yeyote katika maisha yake. Hakika vijana ambao tuna maono ya kuwa na maisha yetu binafsi kwa ajili ya baadae tayari tumepoteza direction ya maisha kabisa, Vijana tunaogopa hata kuoa, umri unaenda, sijui tutakuwa Taifa la namna gani.

Magufuli umeyaharibu maisha, vijana wengi tumesoma lakini hatuna mchango wowote kwa Taifa letu, tumekaa mitaani, tunaomba Mungu usiku na mchana Miujiza itokee tule tushibe tulale, matumaini ya wazazi wetu kwetu hayapo tena. Kweli sijui tumekosea wapi kwako Mzee wetu.

Tunaishi kwa maisha ya wasiwasi, hakuna mwenye uhakika wa kesho yake, sijui kwanini umeshindwa kuelewa hii hali mpaka sasa, Najua kiyoyozi , misafara ya kifahari ya magari zaidi ya 200 ambayo yamezingirwa kwa mitutu ya Bunduki pengine yanakufanya usielewe nini kinaendelea nje, tunaomba uelewe tayari nchi haina mwelekeo wenye matumaini yeyote. Hakuna sera rafiki inayoonekana mpaka sasa, najua unaweza kupata huu ujumbe lakini bado ukasema kwa lugha yako ile ya kiyunani, " FANYA KAZI".

Magufuli tunaomba uelewe hakuna binadamu mkamilifua, wote tumekuja kwa njia moja na kwa njia moja tutaondoka, haijalishi mwingine alikuwa Rais, waziri n.k , elewa manung'uniko haya hayataishia kwenye kizazi hiki tu, Vizazi zaidi ya 3 vitanung'unika juu yako hata ukiwa kaburini, Watoto watalia, wataomboleza kwa ugumu wa maisha wanaopata wengine hawatosoma na kufikia ndoto zao sawa sawa, wengi watasema. "maisha yalikuwa magumu sana ningesoma vizuri mimi"

Ujumbe huu nimeuandika nikiwa na machungu sana, Taifa linapita katika mapito magumu mno, hata uhuru wa kuabudu unanyimwa na utawala wako, Yalifanyika maombi mengi sana kukuombea, viwanjani, makanisani, misikitini mpk chini ya miti. Lakini kumuombea mgonjwa kwa ibada na imani imekuwa shida leo kisa ni wa itikadi tofauti, Naomba Israeli akutembelee katika hili na anene kwa njia zote nawe.
Magufuli kumbuka hata wewe hauna hati miliki yeyote ya Kuishi duniani milele, jambo hili limekuwa chukizo mbele za Mungu wetu, nakuomba sana Moyo wako usijae kiburi wala ulimi wako usiwe mwepesi wa kunena, matendo yako mengi yatalipwa hapa Duniani, Mbinguni ni sehemu ya kukamilisha tu matukio yako ya hapa.

Magufuli tambua kwamba unyanyasaji unaotufanyia Mungu atakunyanyasa sawa sawa na kiasi cha kila chozi linalodondoka hapa.

Naendelea Kumuuliza Mungu juu ya Utawala huu, utawala wenye kiburi, majivuno, ubabe na kila aina ya uuaji kwa raia wake.

Natamani nione nchi iliyojaa Upendo, uvumilivu, Heshima, Ubinadamu, Haki, Utawala wa sheria, Uchumi imara na Utajiri wa nafsi, mali na Roho. Nchi ya kumcha Mungu.....n.k

Naomba sana Ujumbe huu ukufikie kwa muda uliopangwa na Mungu.

Hakuna sababu ya kuniita mchochezi, nimeysema yaliyoujaza moyo wangu, sitaki kuona naendelea kusononeka, natamani ningepata hata nafasi ya kukueleza haya lakini nimeona hata huku huwa unapitia sana, kama si wewe basi wasaidizi wako.

Ahsante

Niite ; GOODLUCK
Ulevi uko Wa aina nyingi pole sana kijana hata sisi wazee hatumuelewi
 
Mkuu ukijikita kwenye kazi zako wala hayo ya upendo sijui nini hatahangaika nayo...Pambana na hali yako.

Hayo mengine unayataka mwenyewe kwa kusikiliza wanasiasa kuliko kusikiliza haja ya moyo wako.
Wambie na wenzako huko...Kazi ya serikali inafanyika kisawasawa hayo mengine mnayataka wenyewe,,,
 




Magufuli Tumekukosea Nini??

Nayaandika haya kwa machungu makubwa sana.
Ulituomba kura, uliongea kwa uchungu sana ukidai unahitaji kuwasaidia Watanzani, ulilia hadi machozi majukwaani, uliishiwa mpaka sauti kwa kueleza machungu yako uliyokuwa ukiyapata kwa sababu ya umaskini, uduni wa maisha, Ajira kwa Vijana, Elimu kwa mtoto wa Maskini, mateso ya wamachinga, Mama ntilie , wakulima, wafugaji, wavuvi , wafanyabiashara n.k.
Hakika tuliona neema kwako kipindi kile, tukajua Israeli sasa ameshuka Tanzania.

Mh Magufuli nayaandika haya kwa machungu mno, maisha yamekuwa mabaya sana mtaani, vijana wanazagaa tu, kila mtu amebaki kutafuta kifungua kinywa na ili mradi tumbo lishibe, wasomi wanalia kila kona ya nchi, vijana wengi wamekondeana, hawana afya, watu wana stress kila mahali, sio watumishi wa Mungu, sio wafanyabiashara, sio wanafunzi, sio wafugaji, sio wakulima, sio machinga wala mama Ntilie. Vijana wanaonekana wazee kabla ya umri, stress zimejaa kwa kila famili nchi nzima, Tatizo ni nini , tumekosea wapi Ndugu yetu Magufuli,,,,,,,

Matukio ya mauaji, utekaji, ujambazi, majanga yenye sura ya kukomoa yamekuwa kawaida tena maskioni mwa Watanzani. Roho ya mtu kutolewa kwa sasa imekuwa kawaida na kutolewa majibu marahisi tu "Watu wasiojulikana"

Sio viongozi , sio raia, sio wasanii, sio vijana wala wazee wanapotezwa kila uchwao, ni wapi Magufuli tulipokosea??

Maisha yameturudisha miaka 70 nyuma enzi za mkoloni ambapo Mtu mweusi anachukuliwa kama sio Binadamu, hana haki yeyote katika maisha yake. Hakika vijana ambao tuna maono ya kuwa na maisha yetu binafsi kwa ajili ya baadae tayari tumepoteza direction ya maisha kabisa, Vijana tunaogopa hata kuoa, umri unaenda, sijui tutakuwa Taifa la namna gani.

Magufuli umeyaharibu maisha, vijana wengi tumesoma lakini hatuna mchango wowote kwa Taifa letu, tumekaa mitaani, tunaomba Mungu usiku na mchana Miujiza itokee tule tushibe tulale, matumaini ya wazazi wetu kwetu hayapo tena. Kweli sijui tumekosea wapi kwako Mzee wetu.

Tunaishi kwa maisha ya wasiwasi, hakuna mwenye uhakika wa kesho yake, sijui kwanini umeshindwa kuelewa hii hali mpaka sasa, Najua kiyoyozi , misafara ya kifahari ya magari zaidi ya 200 ambayo yamezingirwa kwa mitutu ya Bunduki pengine yanakufanya usielewe nini kinaendelea nje, tunaomba uelewe tayari nchi haina mwelekeo wenye matumaini yeyote. Hakuna sera rafiki inayoonekana mpaka sasa, najua unaweza kupata huu ujumbe lakini bado ukasema kwa lugha yako ile ya kiyunani, " FANYA KAZI".

Magufuli tunaomba uelewe hakuna binadamu mkamilifua, wote tumekuja kwa njia moja na kwa njia moja tutaondoka, haijalishi mwingine alikuwa Rais, waziri n.k , elewa manung'uniko haya hayataishia kwenye kizazi hiki tu, Vizazi zaidi ya 3 vitanung'unika juu yako hata ukiwa kaburini, Watoto watalia, wataomboleza kwa ugumu wa maisha wanaopata wengine hawatosoma na kufikia ndoto zao sawa sawa, wengi watasema. "maisha yalikuwa magumu sana ningesoma vizuri mimi"

Ujumbe huu nimeuandika nikiwa na machungu sana, Taifa linapita katika mapito magumu mno, hata uhuru wa kuabudu unanyimwa na utawala wako, Yalifanyika maombi mengi sana kukuombea, viwanjani, makanisani, misikitini mpk chini ya miti. Lakini kumuombea mgonjwa kwa ibada na imani imekuwa shida leo kisa ni wa itikadi tofauti, Naomba Israeli akutembelee katika hili na anene kwa njia zote nawe.
Magufuli kumbuka hata wewe hauna hati miliki yeyote ya Kuishi duniani milele, jambo hili limekuwa chukizo mbele za Mungu wetu, nakuomba sana Moyo wako usijae kiburi wala ulimi wako usiwe mwepesi wa kunena, matendo yako mengi yatalipwa hapa Duniani, Mbinguni ni sehemu ya kukamilisha tu matukio yako ya hapa.

Magufuli tambua kwamba unyanyasaji unaotufanyia Mungu atakunyanyasa sawa sawa na kiasi cha kila chozi linalodondoka hapa.

Naendelea Kumuuliza Mungu juu ya Utawala huu, utawala wenye kiburi, majivuno, ubabe na kila aina ya uuaji kwa raia wake.

Natamani nione nchi iliyojaa Upendo, uvumilivu, Heshima, Ubinadamu, Haki, Utawala wa sheria, Uchumi imara na Utajiri wa nafsi, mali na Roho. Nchi ya kumcha Mungu.....n.k

Naomba sana Ujumbe huu ukufikie kwa muda uliopangwa na Mungu.

Hakuna sababu ya kuniita mchochezi, nimeysema yaliyoujaza moyo wangu, sitaki kuona naendelea kusononeka, natamani ningepata hata nafasi ya kukueleza haya lakini nimeona hata huku huwa unapitia sana, kama si wewe basi wasaidizi wako.

Ahsante

Niite ; GOODLUCK
 
Ukiamua kushinda kwenye mitandao ya kijamii,lazima maisha yawe magumu.Ukipita mitaaani hasa maeneo ya machinga,mama ntilie,waendesha pikipiki,wauza mitumba,wauza kahawa,matunda.. Sokoni na kila sehemu,karibu nchi nzima watu wanaendelea na maisha yao ya kila siku,kwa amani na furaha tele.Nyie mliomaliza vyuo na wote mnategemea mchukuliwe na serikali na kila mtu anataka kazi ya TRA na tai kubwa ndo mna wakati mgumu.Hii sio sasa hivi tu,ni miaka yote,tofauti ni kuwa huko nyuma kuna ndugu walikuwa wanawa boost kidogo kidogo kwenye uchumi,zamu hii wamebanwa.Kuwa mbunifu,kulalamika hakusaidii.Ukibisha endelea kuilalamikia serikali,kama una uwezo wa kuiondoa kila la heri,ila yatakayokukuta utahadithia.Kama huna uwezo kuwa mbunifu,mambo yakufanya ni mengi hata ukiwa na elfu 50 tu.Uhuru wa kuabudu upo mkubwa tu,uhuru wa kuzungumza upo mkubwa tu,tatizo ni linapoletwa swala kisiasa,BAVICHA mnataka kumuombea Lissu himizaneni kila mtu alipo TZ nzima amuombee Lissu kwa wakati wake,au mpange kuanzia saa 9 jioni nchi nzima mumuombee Lissu kila mtu alipo,au kila mtu aende kanisani kwake na wa misikitini waende huko huko,hii ya kukusanyana Manzese na wa mikoani wakusanyane wapi?... Ukimchukulia JPM kwa jicho la kisiasa lazima umchukie,ila ukimuangalia kwa jicho la kujinasua hana baya,wewe pambana na hali yako,awamu zote zilizopita watu walalamishi kama wewe hawajawahi kukosekana,wapo tu.
 
Kuna kitu huwa najiuliza hiv wachina nao uendesha maisha/siasa zao kama sis huku africa au ulaya? Sis mambo mengi tunaiga toka ulaya na sijawahi sikia tumeiga au kutolea mfano toka china.
 
Umeandika ushuzi mtupu

Unakosea wewe kumjibu hivo huyo bado anamachungu..sasa ilitakiwa umjibu kama alivoeleza nakuyatoa machungu yake..
Anyway ngoja na mimi kidoooogo japo nimfariji huenda maimivu yake yakapungua na kama alitumwa atarudisha marejesho kwa waliomtuma
 
Back
Top Bottom