Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,490
- 2,104
Kama kuna tatizo watu wakae kimya?Mnalalamika sana wabongo. Hatufanyi kazi tunabeti mwanzo mwisho, matokeo yake ndo haya
Kama kuna tatizo watu wakae kimya?Mnalalamika sana wabongo. Hatufanyi kazi tunabeti mwanzo mwisho, matokeo yake ndo haya
Siyo rushwa ni hela ya Kiwi.Askari wale wa barabara njia ya mikumi-Mahenge wanakula rushwa mnooooo
Ndio maana watu wasio wa kabila hilo wakihamishiwa kikazi huko Kagera hua mpk wanaacha kazi.Halafu huu ni ushamba kwenye mjadala kuweka kilugha
Tatizo gani we hujagundua ni kiKi tu humu.Nshawah weka issue sensitive account yangu ikafungiwa, nkaambiwa eti natumia lugha kaliKama kuna tatizo watu wakae kimya?
Haiwezi kuitwa rushwa. Hata shetani akikuijia hujinadi kama malaika lakini ukweli unabaki palepale.Siyo rushwa ni hela ya Kiwi.
Piga namba hizi 0800 780 078 bure au WhatsApp 0744 233 333Mhe. Diwani Athumani sitanii na wala sina mchezo. Kuna vijana wako tabia yao imezidi. Lakini pia kwanini mtumishi anakaa kituo kimoja zaidi ya miaka 3 yaani hata anajulikana ni balaa. Kuna watu huku washajiona miungu watu. Nawafahamu kwa majina yao hadi nyumba wanazoishi. Mali wanazo miliki husipime. Nisaidie mzee nikupe orodha yao.
HahahahaPiga namba hizi 0800 780 078 bure au WhatsApp 0744 233 333
Acha kuwaharibia wenzio unga wew kwan hzo rushwa wanaziomba au mnawapa wenyewe msiwape tuone kama watawaomba hz rushwa.wenywe mnaomba mpate nafuu then mnawapa alafu mnasema wanawaomba achen unafki aiseee.Mhe. Diwani Athumani sitanii na wala sina mchezo. Kuna vijana wako tabia yao imezidi. Lakini pia kwanini mtumishi anakaa kituo kimoja zaidi ya miaka 3 yaani hata anajulikana ni balaa. Kuna watu huku washajiona miungu watu. Nawafahamu kwa majina yao hadi nyumba wanazoishi. Mali wanazo miliki husipime. Nisaidie mzee nikupe orodha yao.
Mjinga akierevuka mwerevu yuko mashakani.Piga namba hizi 0800 780 078 bure au WhatsApp 0744 233 333
Nilisema mimi hapa, hii ni Kiki tu. Takukuru hawajulikani majina yao kirahisi. Tusidanganyane hapaMkuu kwa enzi hizi bado unaogopa kuandika ukweli? Weka majina hapa wenye ujasiri wayafikishe viinginevyo utaonekana unapiga majungu tu.
Na mie Sijui nampataje Ndalichako nimwambie uozo sehemu?
Sio hao tu. Hata wasaidizi wake makao makuu ni tatizo. Ilipaswa Mlowola aondoke nao ili huyu wa sasa aanze moja.Mkubwa pole na kazi.
Napenda kukutaarifu kuwa kuna maofisa wako hapa mkoani Kagera ni wala rushwa.
Kupitia post hii tafadhali saidia jinsi kukufikishia majina yao bila mimi kujulikana.
Emails za 'info' wanapata wakuu wa idara woote!Mbaya zaidi unaweza kuona anayemfungulia email boss na kumsomea au kuprint, ndiye aliyemfanyia mpango wa kazi mtuhumiwa, habari zinarudi Bukoba mnaanza kuwindana