Mkurugenzi, naleta malalamiko kwako kuhusu watu wa parcel Arusha.
Sasa hivi saa nane na dakika 25 nimepeleka parcel ndogo sana ya kama kilo moja nikaambiwa ni shs 25000/= ndani ni makaratasi tu, halafu wakasema 15000/= na siku zote tunatuma kwa elfu tano.
Nimewaambia watume kitalipwa Dar wamekataa.
Bwana Mawalla kaa chonjo, wanakuharibia biashara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hivi saa nane na dakika 25 nimepeleka parcel ndogo sana ya kama kilo moja nikaambiwa ni shs 25000/= ndani ni makaratasi tu, halafu wakasema 15000/= na siku zote tunatuma kwa elfu tano.
Nimewaambia watume kitalipwa Dar wamekataa.
Bwana Mawalla kaa chonjo, wanakuharibia biashara.
Sent using Jamii Forums mobile app