Mimi ni Mtanzania na ninatakiwa kupata pasi mpya ya kusafiri. Moja ya sharti ya kupata pasi hii ni kuwa na kitambulisho cha Taifa au kuwa na nakala ya kitambulisho baada ya kuwa na namba ya kitambulisho cha Taifa.
Tumeelezwa kuwa nakala ya kitambulisho (kama huna kitambulisho) unaweza kuprint kutoka kwenye website yenu.
Nimefuata taratibu zote ili nipate nakala ya kitambulisho lakini website yenu aidha ina matatizo au imesitishwa kutoa nakala hizi.
Ninaomba msaaada au taarifa itolewe kwa wananchi kwa wale ambao hawana vitambulisho vya Kitaifa ila wanazo namba ni utaratibu gani wafuate ili wapate nakala ya vitambulisho vya Kitaifa ili hatimaye waweze kukidhi sharti hili la kupata pasi ya kusafiria. Kwa kweli tunateseka sana.
Tumeelezwa kuwa nakala ya kitambulisho (kama huna kitambulisho) unaweza kuprint kutoka kwenye website yenu.
Nimefuata taratibu zote ili nipate nakala ya kitambulisho lakini website yenu aidha ina matatizo au imesitishwa kutoa nakala hizi.
Ninaomba msaaada au taarifa itolewe kwa wananchi kwa wale ambao hawana vitambulisho vya Kitaifa ila wanazo namba ni utaratibu gani wafuate ili wapate nakala ya vitambulisho vya Kitaifa ili hatimaye waweze kukidhi sharti hili la kupata pasi ya kusafiria. Kwa kweli tunateseka sana.

ya Jiwe.