Kwako Mh. Ndalichako, Joyce.

Kwako Mh. Ndalichako, Joyce.

Kwa hyo ww braza hujawah kuona watu wanapiga form 5 na 6 kwa mwaka mmoja na mwisho wanapiga pepa kama PC? Watu kibao wanafanya hvyo kusave muda na pesa,,,, em pitia majina ya Udsm ya mwaka huu usipokutana na watu waliomaliza mwaka 2014

Ahsante kwa kumuelewesha huyu jamaa.
 
Nakushauri hii itakusaidia hata baadae, unatakiwa uingie katika mfumo wa school candidates, uonekane umefanya mtihani na umesoma kama school candidate, na sio unapeleka vyeti vya private seating form four 2015, f6 2016, nakuhakikishia hata kazi ya maana ni ngumu kupata,
yaonesha unao Uwezo ingia mfumo huo uwe na performance zinazoeleka.

Hii wengi wanafanya hawajui inawagarimu vipi
Tumia Elimu yako kutoa ushauri wenye maana na tija
 
KWanza kuna mkanganyiko kwenye hiyo elimu, unategemea akikimbilia chuo kikuu kabla ya kupata msingi nyuma atasaidika? au ndio akimaliza tena tuanze kusema hapati kazi, nadhani yafaa tumshahuri asome kwanza katika mtiririko sahihi awe na msingi wa kutosha. walioweza elimu ya miaka 2 walikuwa na maana. kwa maelezo yake huyo kasoma lini F6???
Hilo nalo neno!!
 
Pole Sana jamaa, wewe ni mwanaume hutakiwi kukata tamaa, umeshapambana na bado mapambano yanaendelea. Chukua docmt zako zote, nenda bodi ya kikopo. Km uliomba na document ulisubmit naamini watakuelewa
 
Pole Sana jamaa, wewe ni mwanaume hutakiwi kukata tamaa, umeshapambana na bado mapambano yanaendelea. Chukua docmt zako zote, nenda bodi ya kikopo. Km uliomba na document ulisubmit naamini watakuelewa

Ahsante, jumatatu Mungu akinijaalia uhai nitaenda Bodi ya Mikopo kupata kuwaeleza
 
Tumia Elimu yako kutoa ushauri wenye maana na tija
HUjitambui kinachokusumbua ni ulimbukeni. Kama haufahamu vitu ni bora ukanyamza, nyie ndio mnajazaga hoja humu za ubishi wa kipuuzi na ufahamu unaloongea.

Tambua maana ya school candidate ni nini kwanza?
Huyo jamaa hakusoma ktk mtiririko aliseat mtihani bila mtiririko wa shule sahihi akafanya mtihani mwaka mmoja na ndio maana hakupata mkopo. Wengi wanalalamikia serkali lkn hawafahamu mapungufu waliyonayo wenyewe.
Hapo akitaka akajisomeshe mwenyewe, lkn serkali hawawezi mpa consideration kwa kuwa hakufuata utaratibu.

Haya wewe mwenye elimu leta hoja zako za kielimu
 
Kwa hyo ww braza hujawah kuona watu wanapiga form 5 na 6 kwa mwaka mmoja na mwisho wanapiga pepa kama PC? Watu kibao wanafanya hvyo kusave muda na pesa,,,, em pitia majina ya Udsm ya mwaka huu usipokutana na watu waliomaliza mwaka 2014

Nafahamu sana wapo wengi na ilikuwa inafanyika kimakosa, hata wengi walikuwa wanasoma QT na f4 for 2 yrs wanafanya mtihani wa f4 wanaomba vyuo vya ualimu wanasoma private wanafanya mtihani naelewa. Hii ilishagundulika mapema, na kuna weakness, kuna matatizo mengi, ila kwa sasa haya mapungufu wanayafuatilia.

Anyway, ukiona ni sahihi,fuata hii ila wenzako wengi waulize kama baadae wanapata kazi na kama hawakwami Mbele kwenye oppourtunities wanapokuja kulinganishwa na wenzao.
 
Back
Top Bottom