Kwako Mdada Mzuri: Ukinifurahisha Nakuhonga

Boss la DP World

JF-Expert Member
Dec 12, 2021
1,997
7,551
Sikuhizi sina maneno mengi, mdada anayenifurahisha namhonga. Bei hutofautiana kutegemeana na sampuli.

Ma great thinker wasio na hela mje hapa kutoa povu, ila mkae mkijua kama hamwahongi wapenzi wenu hata laki moja kwa mwezi mnawafanya waishi maisha magumu sana hata kama wana vyanzo vya mapato.

Mwanaume ni provider, mhonge mpenzi wako uheshimiwe.

We unasubirije hadi akuombe? Inatakiwa kila ukimkumbuka unamshtua na muamala, wanawake ni maua bwana, tuyatunze.
 
“Ma great thinker tusio na hela”


A1A58221-19B5-4059-95B6-CF3A34D6AA43.jpeg
 
kuna wanaume watazuga hawajauona uzi. Aloo tutawaletea screenshot 😂😂
 
Back
Top Bottom