Kwako Mange

mtanzania in exile

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
1,502
Reaction score
1,390
Baada ya vilio vyako fake mitandaoni nataka kujua what is next? unapanga nini na vipi majeruhi walioingia mitaani kwa kufata wito wako?

Unapanga nini na vipi kuwapatia ubani familia za waliopoteza maisha yao katika maandamano uliyoshinikiza?

Au na wewe utakuja na ule msemo wa Nyerere baada ya vita vya uganda na Tanzania kwa maaskari waliorudi vitani "hatuna cha kuwapa, cha kuwapa ni ahsante"?
 
Tulia, Subirieni Surprises zenu.

Tumegundua Watanzania si Waoga, wako Tayari Kufa kukomboa Nchi Yao dhidi ya udhalimu.

Wametulizwa na haya mabunduki yanayopatikana kwenye Black Markets
 

So Mange ana ushawishi kuliko mama unataka kusema au? Kama anaweza kutoa wito na kengez wakafuata 8000miles away wakati mama hadi atumie matrekta na matela kuwabeba/kusanya na yupo simiyu, mange basi ndio anastahili kuwa rais sio mama yetu!
 
Kama mange ana ushawish kuliko watawala? Ina maana kuna mahali watawala wanazembea

Au hawafanyi majukumu yao
 
Mange ndo kaua?
Hivi mnafikiri kwa kutumia nini?!!

Mange alitaka maandamano ya amani ili serikali ijitafakari na kusikiliza wananchi lakini matokeo yake ikaua. Halafu wewe na akili zako finyu unaleta ujuaji wako..!!

Teuzi zitawatoa roho kila panya anaibuka na upuuzi wake ili aonekane naye ana hoja. Mchieeww!!
 
Yani wewe ni boonge la fala..
Mange alitumia siraha kuuwa raia wasio na hatia?!
Badala ya kumlaumu aliyetoa amri ya 'shoot and kill' simia
Hivi una akili kichwani?
 
Lakini mange alihubiri maandamano ya amani kama ulifatilia kauli zake...japo kuna waliovunja na kuchoma mali za watu tunakubali hilo,ilipaswa vyombo vya ulinzi vilinde mali za watu zisiharibiwe.bado sijaona kosa la mange
 
Rubbish
Punguza porojo
 

wewe unapanga nini . Kazi za uchawa zimefutwa rasmi Oct 29
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…