Kweli tumekuwa na taifa la wanenguaji,siku hizi kama hujui kucheza kwaito unaonekana mshamba,mimii nilijifungia na mama watoto tukajifunza sasa nimekuwa fundi wa kwaito..
Nimekukubali mkuu hiyo ni kwaito halisi,bila kwaito pale getini bi harusi hugoma kuingia ndani ,mpaka apigiwe kwaito ya kuingilia ,harusi yangu niliingia ukumbini kwa mdumange wa mzee Shauri kutoka pale muheza lakini siku hizi ni Kwaito,kwatu kwatu