Kwaheri UKAWA karibu tena CHADEMA

Kwaheri UKAWA karibu tena CHADEMA

WENYELE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
1,461
Reaction score
1,545
Nimesikia tangazo kutoka kwa viongozi wa CHADEMA taifa hadi wilaya kua kutakua na maandamano na migomo isiyo na kikomo na kuwaomba wafuasi na wapenzi wa CHADEMA kuwaunga mkono viongozi hao katika maandamano ya nchi nzima.Lakini nasikitika haya maandamo ni ya kupinga bunge la katiba mpya ambayo ilikuwa ajenda ya UKAWA je,km ni hivyo mbona CHADEMA ndo wanashadidia kuliko vyama washirika? Kwa CHADEMA imewasaliti tayari washirika wao? JAMANI NAULIZA TU WAKUU ILI MNIJUZE.
 
Nimesikia tangazo kutoka kwa viongozi wa CHADEMA taifa hadi wilaya kua kutakua na maandamano na migomo isiyo na kikomo na kuwaomba wafuasi na wapenzi wa CHADEMA kuwaunga mkono viongozi hao katika maandamano ya nchi nzima.Lakini nasikitika haya maandamo ni ya kupinga bunge la katiba mpya ambayo ilikuwa ajenda ya UKAWA je,km ni hivyo mbona CHADEMA ndo wanashadidia kuliko vyama washirika? Kwa CHADEMA imewasaliti tayari washirika wao? JAMANI NAULIZA TU WAKUU ILI MNIJUZE.
wameshasambaratika. cdm wanawaza kuingia ikulu tu wakale bata.
 
Ngangari wanajipanga, naona mna hamu nao siku nyingi siyo -haya malizeni mziki wa CDM kwanza.
 
Chadema huweza kuwaweka dhamana siyo watu kabisa hawafai.
 
Nimesikia tangazo kutoka kwa viongozi wa CHADEMA taifa hadi wilaya kua kutakua na maandamano na migomo isiyo na kikomo na kuwaomba wafuasi na wapenzi wa CHADEMA kuwaunga mkono viongozi hao katika maandamano ya nchi nzima.Lakini nasikitika haya maandamo ni ya kupinga bunge la katiba mpya ambayo ilikuwa ajenda ya UKAWA je,km ni hivyo mbona CHADEMA ndo wanashadidia kuliko vyama washirika? Kwa CHADEMA imewasaliti tayari washirika wao? JAMANI NAULIZA TU WAKUU ILI MNIJUZE.
Wapigie kina Katibu magamba wanayo majibu zaidi ya wahusika!
 
chadema wanatafita airtime kwenye vyombo vya habari
 
Wapigie kina Katibu magamba wanayo majibu zaidi ya wahusika!

Nauliza tu mkuu,nilisikia pia jana baadhi ya watu waliumizwa na polisi pale walipoandamana kumsindikiza mbowe,vp Mbowe naye aliumizwa? Pia nasikia alisepa South Africa....na je alienda na hao majeruhi?
 
Tulijua toka mwanzo kuwa itafikia hatua UKAWA watajenga mnara wa Babeli
 
Nauliza tu mkuu,nilisikia pia jana baadhi ya watu waliumizwa na polisi pale walipoandamana kumsindikiza mbowe,vp Mbowe naye aliumizwa? Pia nasikia alisepa South Africa....na je alienda na hao majeruhi?
Mkuu, maswali yako yamekuwa tamu kwangu ila chungu kwa kwa chadema
 
Chadema akili zao ndogo sana wanaakili kama za ndege wanafanya utoto kweli watapata aibu hamtaamini.
Mkuu, hivi chadema hakina wazee wa kuwashauri viongozi wao? Maana naona chama kinaenda hovyo hovyo tu kama jahazi lililopigwa na dhoruba kali
 
Ngangari wanajipanga, naona mna hamu nao siku nyingi siyo -haya malizeni mziki wa CDM kwanza.
Wanajipanga wapi? Kwa nini kila chama kijipange kivyake? Ina maana sasa hakuna agenda za pamoja za ukawa bali za kila chama?
 
Chadema akili zao ndogo sana wanaakili kama za ndege wanafanya utoto kweli watapata aibu hamtaamini.

Umetoka kunywa viroba na kitimoto sasa unaharisha tu ee!! Na hiyo posho unayolipwa hapo kufungua mageti ngoja tuje!!
 
Ukawa lazima iheshimiwe ,vipi chadema mnawasiliana na wenzenu?
Hii janja janja na kiherehere hata siungi mkono.
Slaa alitoa tamko ukawa watakaa na watatoa ratiba ya maandamano, sasa hiki kinachotokea ni nini?
 
lumumba fc naona mmeuchangamkia huu uzi haya kachukueni buku saba zenu
 
Umetoka kunywa viroba na kitimoto sasa unaharisha tu ee!! Na hiyo posho unayolipwa hapo kufungua mageti ngoja tuje!!
Wanaokunywa viroba na gongo wapo Kinondoni. Lumumba hiyo si kawaida yetu
 
Ukawa lazima iheshimiwe ,vipi chadema mnawasiliana na wenzenu?
Hii janja janja na kiherehere hata siungi mkono.
Slaa alitoa tamko ukawa watakaa na watatoa ratiba ya maandamano, sasa hiki kinachotokea ni nini?
Ukaww ni kama used condo.m. Hakuna kiongozi wa chadema atakayetamka neno hilo kwa sasa
 
Hata Moshi nao wanahitaji Katiba Mpya, Kwenye Maandamano ya safari hii msiwatenge.
 
Back
Top Bottom