Kwaheri UKAWA karibu tena CHADEMA

Kwaheri UKAWA karibu tena CHADEMA

Nauliza tu mkuu,nilisikia pia jana baadhi ya watu waliumizwa na polisi pale walipoandamana kumsindikiza mbowe,vp Mbowe naye aliumizwa? Pia nasikia alisepa South Africa....na je alienda na hao majeruhi?
Hata mi nauliza tu, nasikia watanzania wote ni masikini!
 
Nimesikia tangazo kutoka kwa viongozi wa CHADEMA taifa hadi wilaya kua kutakua na maandamano na migomo isiyo na kikomo na kuwaomba wafuasi na wapenzi wa CHADEMA kuwaunga mkono viongozi hao katika maandamano ya nchi nzima.Lakini nasikitika haya maandamo ni ya kupinga bunge la katiba mpya ambayo ilikuwa ajenda ya UKAWA je,km ni hivyo mbona CHADEMA ndo wanashadidia kuliko vyama washirika? Kwa CHADEMA imewasaliti tayari washirika wao? JAMANI NAULIZA TU WAKUU ILI MNIJUZE.

Lipumba alikosea sana kujiunga na hawa maibilisi wa kaskazini nadhani hakujuwa/hajuwi kama yeye na chama chake wanafanywa ngazi na CDM kufikia malengo yao kwa kosa hilo hakika litamgharimu sana siku za usoni.
 
Leo nadhani mtalala vizuri buku 7.Mmefurahi kweli!teh teh teh!
 
Nauliza tu mkuu,nilisikia pia jana baadhi ya watu waliumizwa na polisi pale walipoandamana kumsindikiza mbowe,vp Mbowe naye aliumizwa? Pia nasikia alisepa South Africa....na je alienda na hao majeruhi?

Maswali yako ni yakihuni huni tu. Najiuliza ulivolelewa
 
Kama hujui Viongozi wakuu wa Ukawa walimpa Mbowe go ahead atoe tamko kwenye mkutano mkuu wa Chadema, na Ukawa wanafuatilia kwa makini mwenendo wa haya maandamano na wao watatoe tamko la wanachama wao kujiunga muda wowote.
 
UKAWA NI SUMU YA KUUWA CCM NA VIBARAKA WAKE WOTE ..wazalendo wenzangu msikate tamaa muda wa ukombozi umekaribia VIVA UKAWA DAIMA
 
Mkuu, hivi chadema hakina wazee wa kuwashauri viongozi wao? Maana naona chama kinaenda hovyo hovyo tu kama jahazi lililopigwa na dhoruba kali

ha ha ha so funny.....mnaanzisha mada na kuijadili wenyewe wenye akili wamesha wapuza nyie majini wa ccm....
 
Ukawa lazima iheshimiwe ,vipi chadema mnawasiliana na wenzenu?
Hii janja janja na kiherehere hata siungi mkono.
Slaa alitoa tamko ukawa watakaa na watatoa ratiba ya maandamano, sasa hiki kinachotokea ni nini?

jana wafuasi wa chadema walimsindikiza mbowe police kuhojiwa na sio kuandamana kwa kuwa tamko la mbowe ni azimio la mkutano mkuu.kwani ukawa waliitwa police?
 
Hata mi nauliza tu, nasikia watanzania wote ni masikini!

Ndio ni Maskini lakini na hawana muda wa kuandamana kutukuza wanzinzi mkuu.Nasikia Tanzania ndo ya pili kwa ahueni ya uchumi afrika mashari,vp hizo nchi nyingine nitajiri sana kuliko Tz? Nauliza tu mkuu,maana nataka nijuzwe!
 
Maswali yako ni yakihuni huni tu. Najiuliza ulivolelewa

Na wewe akili yako ni ya kihuni huni? Nauliza tu mkuu sina ubaya na wewe....Nimesikia maandamano ya jana wamewekwa ndani watu watano,je Mbowe leo amewapelekea chakula? Nakuuliza tu mkuu,nijuze baasi japo kidogo!
 
Back
Top Bottom