watu wamekua wakinisumbua sana kwenye simu usiku silali etu tutoke out dahh! kisa jamii forum ahaa naondoka nimechoka
tumuulize kwanza yeye jinsia gani maana wote siku hizi wanasumbuliwa sanaNa mtaani kwenu wanaume wakiwa hawaishi kukutaka utahama napo????
watu wamekua wakinisumbua sana kwenye simu usiku silali etu tutoke out dahh! kisa jamii forum ahaa naondoka nimechoka
[h=1]mase88
Member
[/h]
Add as Friend Send Private Message Add to Ignore List Find latest posts Find latest started threads View Conversations Likes Received (12) Likes Given (7)
[h=5]Mini Statistics[/h]Join Date9th February 2012Last ActivityToday 14:12
nenda tu mdogo wangu, hakuna cha maana unachoongeza humu jamvini, sanasana utakuwa umetusaidia
ah atupishe bwana!kwani nani alimtuma agawe namba za simu
kuna mtu alimlazimisha ?anatupigia kelele za nini hapa anafikir kila mtu kid mwenzie hapa ala!ye alipotoa namba si manake apigiwe sasa mbona alipokuwa anatoa namba hakutoa tangazo la habari hapa!:A S angry:
watu wamekua wakinisumbua sana kwenye simu usiku silali etu tutoke out dahh! kisa jamii forum ahaa naondoka nimechoka