Mcharuko
JF-Expert Member
- Sep 25, 2011
- 209
- 175
Chama changu kimeharibu kabisa furaha ya karibu kila mmoja, Wengine tulikosa
la kusema tukaamua kunyamaa, lakini leo hata hiki kidogo cha kuangalia ITV, CLOUDS,
CHANEL 10 nacho mmetuchukulia EH! Chama changu kimezidi sasa, Wale wanaorudi
kutoka Upinzani mnasema mnatumia Busara kuwapa tena walewale, Ingawa kinachofanyika
sio BUSARA bali ni MABAVU.
KWANINI HIYO MNAYOITA BUSARA MUSIITUMIE TUKAENDELEA KUANGALIA LOCAL CHANELS?
RASMI LEO NAIHAMA CCM NITAHAMASISHA WANAWAKE WENZANGU KADRI YA UWEZO WANGU
TUIKATAE CCM .
la kusema tukaamua kunyamaa, lakini leo hata hiki kidogo cha kuangalia ITV, CLOUDS,
CHANEL 10 nacho mmetuchukulia EH! Chama changu kimezidi sasa, Wale wanaorudi
kutoka Upinzani mnasema mnatumia Busara kuwapa tena walewale, Ingawa kinachofanyika
sio BUSARA bali ni MABAVU.
KWANINI HIYO MNAYOITA BUSARA MUSIITUMIE TUKAENDELEA KUANGALIA LOCAL CHANELS?
RASMI LEO NAIHAMA CCM NITAHAMASISHA WANAWAKE WENZANGU KADRI YA UWEZO WANGU
TUIKATAE CCM .