Kwa yeyote mwenye umri wa miaka 40+ anayependa kuwa na afya bora soma hapa

Matanga

JF-Expert Member
Nov 13, 2019
2,281
3,973
WEKA TABIA YA KUPIMA MARA KWA MARA
1. Shinikizo la damu
2. Kiwango Cha damu Sukari/kisukari
3. Kiwango Cha lehemu/Cholesterol

PUNGUZA
1. Chumvi
2. Sukari
3. wanga
4. Maziwa
5. Vyakula vilivyosindikwa
6. Mafuta mengi

Tumia zaidi:
1. Mbogamboga
2. Nafaka
3. Maharage
4. Mbegu
5. Mayai
6. Mafuta ya asili Kama zaituni, samaki, Nazi na yatokanaoyo na mbegu ...)
7. Matunda

VITU VITATU UNAVYOPASWA KUVISAHAU:
1. Umri wako
2. Yaliyopita zamani
3. Majuto yako

VITU VITATU MUHIMU SANA:
1. Marafiki zako
3. Mawazo yako chanya
4. Nyumbani kwako kuzuri.

MAMBO MATATU YA MSINGI:
1. Tabasam/cheka daima
2. Fanya mazoezi nyumbani kwako
3. Angalia na uweke sawa/(balance) uzito wako

VITU SABA VYA KUZINGATIA SANA:
1. Usisubiri kiu ili unywe maji
2. Usisubiri kusinzia ndipo ulale
3. Usisubiri mpaka uchoke ndipo upumzike
4. Usisubiri mpaka uumwe ndipo ukapime afya yako
5. Usisubiri muujiza utokee ndipo uanze kumwamini Mungu
6. Usijidharau/usikate tamaa
7. Amini kuwa kila Jambo linawezekana na kesho yako itakuwa nzuri zaidi ya leo ...

MUNGU AZIDI KUKUBARIKI
 
WEKA TABIA YA KUPIMA MARA KWA MARA
1. Shinikizo la damu
2. Kiwango Cha damu Sukari/kisukari
3. Kiwango Cha lehemu/Cholesterol....
Bandiko linw mbwembwe hili..

Mfano kwenye mambo matatu ya msingi hapo ilikuwa hayo mambo matatu ya msingi uyaweke kwenye vitu saba vya kuzingatia ili viwe vitu 10 vya kuzingatia.

BTW uzi mzuri mkuu
 
Bandiko linw mbwembwe hili..

Mfano kwenye mambo matatu ya msingi hapo ilikuwa hayo mambo matatu ya msingi uyaweke kwenye vitu saba vya kuzingatia ili viwe vitu 10 vya kuzingatia.

BTW uzi mzuri mkuu
Jamii forum ina vijimambo Sana
 
Wonderful, kunywa maji kwa wingi kunasaidia kuondoa magonjwa nyemelezi kwa mtu kabla hayajampata, ni muhimu sana.
 
Ukichanganya na mawazo ya watoto kuwapa pesa ya shule,kodi ya nyumba,mke kuwa mbishi,mshahara mdogo,madeni dukani,n.k. vyote ulivyo sema ni lazima robo vipo mwilini na tunadunda.
 
Umesahahu hili hapa!! km umejenga mijengo mingi jihadhari na wageni wageni wanaokuja kukaa hapo kwako hasahasa ndugu wanazitaka hizo nyumba!!!
 
Back
Top Bottom