Mimi nimechaguliwa ba in procurement and supply management,mpaka sasa sijapata fomuyakujiunga ! Hivi hicho chuo kinafumguliwa lini?
kama ni muccobs tarehe ya kufungua ni 15 october na joining instruction zitatumwa kesho adresses zetu,so fanya kusubir joining instrucns,issue ya hostel wavulana almost wote wanatoka off campus na hostel zote zinatafutwa na chuo ww ni kulipa 2,so ushaur fanya faster hili upate hostel karibu na chuo coz nyngne ziko distance kidogo,
Orientation ni tarehe 24-28 ukiingia kwenye web yao sehemu ya calenda utapata hicho kitu ila kuhusu joining na maelezo mengne sijui.
da na mimi nipo mucob BAF,kivip unapata hostel tujuzane jamani na ni hiyo 15 unatafuta hostel au?
nimepata joining leo ya muccobs hostel ni shida lakn wameandika zitatafutwa nje na chuo then wanafunz tutalipia,wameweka sh 200,000 hostel,medical capitation 100,000,stdnt orgnzation 10,000 trh 15 wote 1st year 2we chuo na vyeti vye2 vyote kwa ajili ya registration na orientation course,poa kaka BAF 2takutana kilanga watu 62 mzuka mbaya.
Mie mwenyewe muccobs law,vp joining mmezipataje wadau?
asante mkuu,je kuhusu riporting,registration ni lini..?