Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,906
Ni ukossefu wa uelewa wa WaTzd, sera ya CHADEMA inazungumzia kanda za utawala.
Inatakiwa kuondoa utitili wa viongozi kama DC RC etc wanaoteuliwa na Raisi.
Taifa linaingia hasara kwa gharama zisizo na sababu.
Kudhibiti kila kanda iwe na utawala unaotokana na kuundwa na utawala wa kanda. Ni rahisi kusimamiwa maana wameajiliwa na kanda husika, ni answerlable kwa waliomwajili.
Nchi itasonga mbele, tuache mambo ya yena yena hatutakwenda popote!!
Inatakiwa kuondoa utitili wa viongozi kama DC RC etc wanaoteuliwa na Raisi.
Taifa linaingia hasara kwa gharama zisizo na sababu.
Kudhibiti kila kanda iwe na utawala unaotokana na kuundwa na utawala wa kanda. Ni rahisi kusimamiwa maana wameajiliwa na kanda husika, ni answerlable kwa waliomwajili.
Nchi itasonga mbele, tuache mambo ya yena yena hatutakwenda popote!!