Kwa wewe unayeanza maisha

Kwa wewe unayeanza maisha

odamae

Senior Member
Joined
Nov 5, 2020
Posts
163
Reaction score
291
Helow friends,

Poleni kwa uchovu na hongereni kwa kuianza weekend.

Kwa wale wanaoanza maisha leo nataka kukueleza vitu vichache tu; najua huwezi kuanza maisha bila vyombo kuna rangi chache ni nzuri sana ukinunua vyombo, ili kabati lako liwe nzuri na lakupendeza usikose izi rangi ni nzuri na zenye mvuto hii na kwa wote ata wewe kaka tu uliye bachela.

Nitakuonesha rangi chache ila kama nawe una rangi zako za vyombo unazopendelea utatupia hapa tuzione. Umeiona light blue kwenye hii picha hapa chini iyo ni rangi nzuri sana ukinunua vyombo vyako jitahidi usiikose.

View attachment 1761444
 
Typing error my der ha ha ha thank u
Right blue
Screenshot_20210423-144118.jpg
 
Right blue ni rangi nzuri sana kwenye vyombo sio blue tukumbuke ilo ni right blue
Inafata rangi ya pink.hii ni rangi nzuri sana kama unataka kabati lako livutie au vyombo vyako viwe na mvuto
 
Blue iloiva sio nzuri Mimi binafsi siipendi kwenye vyombo na kama nitaichukua basi kutakuwa na vyombo vichache sana labda upande wa mandoo etc.
Kuna maluni hii rangi ni kari sana pia usikose.
Screenshot_20210423-151303.jpg
 
Rangi ya njano,kijani sana,orange epuka kwenye vyombo hazina mvuto kabisa na kama unachukua chukua chache tu!!
Izi ndo rangi sasa za vyombo nzuri na zenye mvuto
Screenshot_20210423-153315.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom