Kwa wewe binti unaependa waume za watu!

Kwa wewe binti unaependa waume za watu!

Wengi mtajifanya ni madaktari na maprofesa wa mapenzi lakini hakuna kitu.

Scenarios za mapenzi kwa kila mmoja wetu zinatofautiana sana,japo kwa mbali zinafanana.

Si kila achepukae ni muhuni au vipi, kuwa katika ndoa si kifungo cha maisha...what if mwenzi wangu alishanichepuka na situation yetu imekuwa irreparable? obvious lazima nichepuke ili nipate mwenzi mwingine...vinginevyo watangazwe watu rasmi ambao wao watakuwa standby kufanya-replacement za wenye ndoa pindi itokeapo migogoro iliyoshindikana kusuluhishwa.

Michepuko ipo na itaendelea kuwepo.
 
Nalo neno mie mtu akitaka kunyemelea utamu wangu namvimbisha manyonyo lol
 
Mmmmh!
1. Kama ni sex, hata yeye atakuwa anahitaji mtu wa kumpa sex.
2. Utafiti umeonesha wapo tena wengi waliowaacha wake zao na kuhamia kwa mchepuko.
3. Kama anavyokuoneshamwewe kuwa anakupenda na kumbe hauko peke yako
4. Usikute ndio staili yake ya maisha kuwa na mwanaume mwingine kila baada ya muda fulani?!
5. Mwanaume anakurudia saa 9 alfajiri halafu unasema hana uhuru naye?!!
6. Siku hizi wakina dada wanapenda kuzaa na kutunza watoto wao bile bughudha ya wanaume
7. Mla mla leo. Akimpata wa chips mayai leo, kesho atampata wa gari na kesho kutwa atampata wa nyumba na kusomesha
Watoto wake, life goes on.
8. Nini bora, mipango ya baadae au ya sasa, maisha ni sasa, baadaye sio yake

sio kama naunga mkono michepuko, ila ndio ukweli wa maisha na ndio maana sisi wanaume hatuachi michepuko japo michepuko mingi ni aghali kuliko njia kuu


Well said.....kwa kweli siwezi date na mwanaune ambae hatuwezi kuwa na future pamoja... .na mume wa mtu ndo kabisaaaaa ntasema na roho yangu hata kama nampenda ila jigijigi no ataishia kunawa tu karamu lina mwenyewe
 
Back
Top Bottom